Nimetapeliwa Airtel Tanzania, msaada tafadhali

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
38,876
44,926
Nimetapeliwa na Airtel Tanzania. Muda si mrefu nimejiunga na moja wapo ya bando za Airtel Tv. Baada ya kudownload app yao ili niangalie TV nakuta kumbe service haijaanza bado, yaani huduma haiko operational, channel zote zinaandikwa "to be announced". Nataka nikawashataki kwa kunitapeli na kunisababishia msongo Wa mawazo. Na it seems wameshawaliza malaki ya watz.(ona Google play comments).
Screenshot_2016-07-17-21-19-39.png
UPDATE: Baada ya kutishia kuwashitaki wamejirekebisha, mchana huu naangalia TBC 1 live bila chenga.View attachment 367293
 

Attachments

  • Screenshot_2016-07-18-16-10-29.png
    Screenshot_2016-07-18-16-10-29.png
    99.7 KB · Views: 33
Nimetapeliwa na Airtel Tanzania. Muda si mrefu nimejiunga na moja wapo ya bando za Airtel Tv. Baada ya kudownload app yao ili niangalie TV nakuta kumbe service haijaanza bado, yaani huduma haiko operational, channel zote zinaandikwa "to be announced". Nataka nikawashataki kwa kunitapeli na kunisababishia msongo Wa mawazo. Na it seems wameshawaliza malaki ya watz.(ona Google play comments).View attachment 367087
Wahi kesho na mapema mahakamani,kabla ya ofisi kufunguliwa,si unajua kesho ni Jtatu kesi nyingi na msongamano wa watu.
Tunasubiri mrejesho!!
 
Screenshot_2016-07-17-21-36-48.png
Hivi wanawezaje kupokea malipo kwa huduma ambayo wanajua fika hawana uwezo wa kuitoa.., TCRA mnakula kodi za bure?!
 
TCRA wamelala usingizi wa pono wakati watanzania wanaibia mchana kweupe!! Pambaf zao!!
 
Naona na ushahidi unao,nitakuwa wakili wako,sasa ngoja niandae Litigation.

Nitumie downpayement ya service provided shs laki 5,nakupm namba.


Utume kwa mpesa
 
Na nyinyi mmeanza lini kuwa amini Airtel..... kati ya mitandao ya hovyo huu nao upo....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom