Nimetandikwa kofi la uso

mateso ya nini, ukware wetu tu. We kila anayekugusa unapata hisia kali, mbona sie huwa tunawagusa na hawapati hizo hisia kali. Kofi lilikuwa size yako mkuu. Wanaume tunapenda sana kujiendekeza

wanaume tuumbwa tofauti na kila mtu ana ugonjwa wake yan hata ww ukikaa mbele yangu na dinda sasa hapo ndio ujue maana ya hisia mkuu
 
Ungekutana na mimi ningekuzaba vibao viwili alafu navuta na hiyo njururu yako next time hutapata hisia kwenye public
 
wanaume tuumbwa tofauti na kila mtu ana ugonjwa wake yan hata ww ukikaa mbele yangu na dinda sasa hapo ndio ujue maana ya hisia mkuu
Basi wewe ni mgonjwa AMA wa akili....nakushauri ukamuone doc vinginevyo uhai wako uko mashakani, maana Kama unaweza kudinda mbele ya mwanaume mwenzako, kuna Siku na wewe utafanyiwa kweli. Get prepared kaka, Siku hizi ndio style, ukijifanya kidume kwa wenzio unakutana na wanaume waliochoka maisha. Huku kamera zinafanyakazi. Keshokutwa the utamu inatoa Utube mkubwa
 

ni halali yako lakini hiyo adhabu ndogo wangekukata dushelele lako liwe fundisho kwa kizazi na kizazi
 
uwe unapiga puchu mara tatu kwa siku,,,asubuhi,mchana na jioni kila siku....phat boi
 
"Ukubwa wa makalio ndio wingi wa fangasi" yaan ukiwa na kanuni hiyo sikuzote huwezi kamatwa na hisia kiivyo.ebu chukua hii tena............

"ukubwa wa makalio si ujuzi wa mapenzi" hii kanuni itakusaidia kuacha kukodolea macho hovyo hovyo wadada.
 
"Ukubwa wa makalio ndio wingi wa fangasi" yaan ukiwa na kanuni hiyo sikuzote huwezi kamatwa na hisia kiivyo.ebu chukua hii tena............

"ukubwa wa makalio si ujuzi wa mapenzi" hii kanuni itakusaidia kuacha kukodolea macho hovyo hovyo wadada.
haya yanaitwa mawazo hasi....phat boi
 
Kwel kwa mabasi ya dar yanavyojaa na kubanana vile siutakuwa unapigwa vibao kila siku
 
Why shouldn't we judge him? Ndio nyie mkiona mtoto anabadilishwa nepi mnameza mate na kuvizia dada anafua unabaka. Watu wa aina hii mnatuaibisha sana wanaume wenzenu

Don't judge me dude you don't know me
 

mshahara wa dhambi ni mauti,katubu dhambi ya kutamani mwanamke asiye mke wako,siyo kuja jf kama shujaa
 
"ukubwa wa makalio ndio wingi wa fangasi" yaan ukiwa na kanuni hiyo sikuzote huwezi kamatwa na hisia kiivyo.ebu chukua hii tena............

"ukubwa wa makalio si ujuzi wa mapenzi" hii kanuni itakusaidia kuacha kukodolea macho hovyo hovyo wadada.

ahsante mkuu hapa nairudia rudia kanuni ahsnte
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…