Dah mkuu umenikumbusha mbali, beat zao ni kuwa unakuwa msambazaji wa bidhaa. Kuna kipindi nilimalizaga form six nipo kitaa Moro nikaomba hiyo kazi. Siku ya kwanza nikazunguka na jamaa hadi jioni misele ya kutosha kwenye maofisi ya watu. Siku ya pili tupo mtaani nikakutana na madem wananifahamu kindakindaki. Nilijifunika na beseni lakini walishaniona. Tulivyopishana tu nikampa vyombo vyote yule mwalimu wangu na sikurudi tena!!!
Picha limeanza nimetoka tu nje nakutana na jamaa niliomaliza nao A level wanaenda kuchukua leaving certificate shuleni daah..nikasema hii kazi lazima inishinde tuu
Kutengeneza simu ndo option boraMkuu kama huna mtaji na huna idea ya kufanya shughuli yoyote tofauti na hiyo kwa maana ya vibarua wa viwandani fanya juu chini utafute kuwa na fani ya ufundi utajutia kamwe ila ina hitaji uvumilivu siku michongo iki tiki inatilia kweli
ataweza kubeba mahot pot makubwa makubwa yale ya ugaliMkuu kuna dogo kamaliza chuo yupo tuu mtaani, hebu tuyajenge..
Kesho najaza mkataba wa kazi Mungu akipenda, kazi unazunguka na bidhaa gawio la asilimia 10 ya mauzo kwa siku..ndo salary (mfano wa wakala)
Ukifikisha point wanakupromote unakabidhiwa ofisi... Nipo naitafakari hii kazi..
Kwa anaetaka aje nimuumganishe aandike barua ya kuomba kazi na barua ya mdhamini.. Na paspot size mbili zako na za mdham wako
Dah mkuu umenikumbusha mbali, beat zao ni kuwa unakuwa msambazaji wa bidhaa. Kuna kipindi nilimalizaga form six nipo kitaa Moro nikaomba hiyo kazi. Siku ya kwanza nikazunguka na jamaa hadi jioni misele ya kutosha kwenye maofisi ya watu. Siku ya pili tupo mtaani nikakutana na madem wananifahamu kindakindaki. Nilijifunika na beseni lakini walishaniona. Tulivyopishana tu nikampa vyombo vyote yule mwalimu wangu na sikurudi tena!!!
Picha limeanza nimetoka tu nje nakutana na jamaa niliomaliza nao A level wanaenda kuchukua leaving certificate shuleni daah..nikasema hii kazi lazima inishinde tuu
Ataweza labdaataweza kubeba mahot pot makubwa makubwa yale ya ugali
How you can secure such capital?Hapo si bora utafute kamtaji kako kidogo uwe machinga mwenyewe.
HahahaHakuna kazi hapo ni upuuzi afadhali ukabebe zege upate mtaji ufungue genge
Dah mkuu umenikumbusha mbali, beat zao ni kuwa unakuwa msambazaji wa bidhaa. Kuna kipindi nilimalizaga form six nipo kitaa Moro nikaomba hiyo kazi. Siku ya kwanza nikazunguka na jamaa hadi jioni misele ya kutosha kwenye maofisi ya watu. Siku ya pili tupo mtaani nikakutana na madem wananifahamu kindakindaki. Nilijifunika na beseni lakini walishaniona. Tulivyopishana tu nikampa vyombo vyote yule mwalimu wangu na sikurudi tena!!!