Nimetafuta ajira nimeipata kwenye kampuni la wahindi ila hiyo kazi, ushauri

Dah mkuu umenikumbusha mbali, beat zao ni kuwa unakuwa msambazaji wa bidhaa. Kuna kipindi nilimalizaga form six nipo kitaa Moro nikaomba hiyo kazi. Siku ya kwanza nikazunguka na jamaa hadi jioni misele ya kutosha kwenye maofisi ya watu. Siku ya pili tupo mtaani nikakutana na madem wananifahamu kindakindaki. Nilijifunika na beseni lakini walishaniona. Tulivyopishana tu nikampa vyombo vyote yule mwalimu wangu na sikurudi tena!!!
 
Mzee kazi yeyote ili mradi inakuingizia kipato ili siku chache ziende fanya unaambiwa usifanye huku mahitaji ya kila siku yapo pale pale...
 
Mkuu kama huna mtaji na huna idea ya kufanya shughuli yoyote tofauti na hiyo kwa maana ya vibarua wa viwandani fanya juu chini utafute kuwa na fani ya ufundi utajutia kamwe ila ina hitaji uvumilivu siku michongo iki tiki inatilia kweli
 
Mkuu kama huna mtaji na huna idea ya kufanya shughuli yoyote tofauti na hiyo kwa maana ya vibarua wa viwandani fanya juu chini utafute kuwa na fani ya ufundi utajutia kamwe ila ina hitaji uvumilivu siku michongo iki tiki inatilia kweli
Kutengeneza simu ndo option bora
 
Hakuna kazi hapo ni upuuzi afadhali ukabebe zege upate mtaji ufungue genge
Kesho najaza mkataba wa kazi Mungu akipenda, kazi unazunguka na bidhaa gawio la asilimia 10 ya mauzo kwa siku..ndo salary (mfano wa wakala)

Ukifikisha point wanakupromote unakabidhiwa ofisi... Nipo naitafakari hii kazi..
Kwa anaetaka aje nimuumganishe aandike barua ya kuomba kazi na barua ya mdhamini.. Na paspot size mbili zako na za mdham wako
 
Dah mkuu umenikumbusha mbali, beat zao ni kuwa unakuwa msambazaji wa bidhaa. Kuna kipindi nilimalizaga form six nipo kitaa Moro nikaomba hiyo kazi. Siku ya kwanza nikazunguka na jamaa hadi jioni misele ya kutosha kwenye maofisi ya watu. Siku ya pili tupo mtaani nikakutana na madem wananifahamu kindakindaki. Nilijifunika na beseni lakini walishaniona. Tulivyopishana tu nikampa vyombo vyote yule mwalimu wangu na sikurudi tena!!!
maisha hayajawahi kuwa na nidhamu aisee,yakiamua yameamua!
 
Hapo si bora utafute kamtaji kako kidogo uwe machinga mwenyewe.
 
Dah mkuu umenikumbusha mbali, beat zao ni kuwa unakuwa msambazaji wa bidhaa. Kuna kipindi nilimalizaga form six nipo kitaa Moro nikaomba hiyo kazi. Siku ya kwanza nikazunguka na jamaa hadi jioni misele ya kutosha kwenye maofisi ya watu. Siku ya pili tupo mtaani nikakutana na madem wananifahamu kindakindaki. Nilijifunika na beseni lakini walishaniona. Tulivyopishana tu nikampa vyombo vyote yule mwalimu wangu na sikurudi tena!!!
kuwa mwanaume kazi sana! Mpaka unakuja kutoboa ni story ndefu
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom