ziwapohazipo
Member
- Jan 29, 2012
- 27
- 5
@kasembe nitafute nikuunganishe nae
Daaah umesoma wapi wewe?
im not mtoto wa shule men,nna maisha yang,understand,iyo six n longtym ndo nmemalza.
Daaah umesoma wapi wewe?
Teknolojia ya simu imekuja majuzi tu!kwani kabla ya hapo tulikuwa tunawasiliana vipi?Kama kweli wewe ni old boy basi utakuwa unajua cha kufanya,nunua karatasi ya maua stationery,andika barua peleka posta subiri majibu!au nenda mwenyewe.