Nimesitisha kumuombea Rais

Mamba wa Mungu unamfananisha na Magufuli?

Kwa hiyo unasubiri siku ya tatu afufuke? Endelea kuomba.
Yani kwa kua ni uhulu wa mawazo na maamuzi!!!! Jamaa we acha kuomba sepa.sisi tunaomba
 
Hata usipomuombea wewe,wengi tunaompenda mungu anapokea maombi yetu
Nyie muombeeni mbowe azidi kutafuna ruzuku
Wewe ndiye unayempenda Mungu?Utawezaje kumpenda Mungu na kushuhudia uongo?mbona una chuki na Mbowe?Mungu gani unayempenda wewe?Kama ni Mungu wa Wakristo hayuko hivyo wala usijidanganye!
 
...prayer is not in the success equation, prayer is a liberation equation. Decision making is the success equation...
 

Attachments

Ulikuwa unampigia kelele Mungu. Kuna watu wanataka kuondokana na natural disasters kila siku ndio wanahitaji kuombewa.
Wewe unaombea......
 
Safi sana mtoa mada kwa kusitisha maombi.
 
Ulikuwa unampigia kelele Mungu. Kuna watu wanataka kuondokana na natural disasters kila siku ndio wanahitaji kuombewa.
Wewe unaombea......
Nitaendelea kuiombea nchi yangu kwa Mungu aiepushe na majanga na watu wabaya wanaoinyemelea.
 
Nitaendelea kuiombea nchi yangu kwa Mungu aiepushe na majanga na watu wabaya wanaoinyemelea.
Ni wazo zuri sana. Tuombee Nchi na sio Mtu, nasi sote tumeshathibitisha kuwa kumuombea mtu kunafanya huyo mtu kufanikiwa. Ni vema kuombea Nchi ifanikiwe na hapo makundi yote hata masikini na matajiri tuturidhika na kupendana na hofu iratoweka
 
Pengine wewe ni mdhambi mno, maana maombi ya mwenye dhambi ni kelele mbele za Mungu; isipokuwa tu kama anaomba msamaha. Badili maombi mpendwa
 
Pengine wewe ni mdhambi mno, maana maombi ya mwenye dhambi ni kelele mbele za Mungu; isipokuwa tu kama anaomba msamaha. Badili maombi mpendwa
Ni kweli mimi ni mdhambi kwa vile wewe ni mtakatifu tuambie maombi ya mtu asiye na dhambi yakoje.

Hapa duniani hakuna mtu asiye na dhambi hata aliyetuomba tumwombee definitely anayajua madhambi yake.
 
Endelea kuomba ili mtukufu apunguze jazba.
Aache kushindana na wapinzani wake kila wakati.
 
Mungu anadili na mambo makubwa yaliyo nje ya uwezo wetu kama kushikilia jua,hewa na maji,yaliyo ndani ya uwezo wetu kama kuchagua viongozi tusimlaumu.
 
Mnamuombeaje yule mtu? Anataka tuishi kama mashetani halafu mnamuombea? Mungu ninayemuamini hawezi kubali maombi kwa ajili ya mtu yule:
 
Bongo shida tuu Taifa Stars inafanya mazoezi ikicheza muiombee timu,Rais mumuombee,Yanga na Simba mziombee mnaombea watu wanaojiweza na kusahau wanaohitaji msaada wa kuombewa wagonjwa maombi ya kuzuia ajari,majanga na mengineyo tuungane na Rais kuombea Nchi na si kumuombea yeye tuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…