Nimesitisha kumuombea Rais


Sisi wengine tutaendelea kumuombea hatutakata tamaa.
 
Mi sikuwahi hata kumuombea

Kwa ule wizi wa kura chini ya lubuva na jecha

Siwez shiriki dhambi hiyo
 
Wewe Baby wa Dj tangu lini ulipata ruhusa ya kumwombea Magufuli?
 
Maombi yaliambatana na utashi wa kibinadamu zaidi.


umechoka mapema, wenzako wanaendelea na wengine wanaingia kwenye mnyororo.

Go on JPM tulikusubiri mda mrefu.
 
According to Dj Mbowe mgombea urais wa chadema 2020 ni Lugumi.

Kwa hiyo tutarajie 2020 kuwaona bavicha wakiambaa ambaa na madodoki kusafisha kama walivyosafisha 2015.
 
Na wewe unataka maburungutu ya fedha kwenye briefcase ili uendelee na maombi?

Quinine unapatikana wapi ili "utumbuliwe kwa maburungutu ya fedha"? Au zipitie kwa msajili wa vyama?

Link Haikuwa sahihi kwa Magufuli kugawa Maburungutu ya pesa hadharani
 
...Nimestisha maombi.

Ni uamuzi wangu sijashinikizwa na mtu.

Quinine.
Nani anahitaji maombi yako ya kinafiki. Na ulipoanza hayo maombi yako ulimtangazia nani. Sasa unatueleza sisi ndio iweje? Tokomea huko na maombi yako ya kishetani..
 
Ulitegemea alivyokuwa anaongea zile ahadi angetimiza pole sana ulidata na push up zake mwambie akupigie tena nyingine
Hata kama nilishiriki kumnadi, anayofanya leo siyo yale aliyoahidi wakati wa kampeni.
 
Omba maombi ya mungu kutuondolea hili balaaa ndoo maombi yanayo hitajika
 
Nadhani ulikuwa unaonba ukiwa huna imani ya kile ulichokiombea, imani yako ilikuwa ndogo.
 
Hata wale wanafunzi wake walipoona wayahudi wakimkamata YESU walimkimbia wakatawanyika kwa hofu na watu wakamtesa mpaka wakamsulubisha.ila baadae alipokufa ndipo waliposhituka kumbe huyu alikua ni mwana wa MUNGU.so wewe acha kuomba,ombea mambo yako ya familia na sisi tunaendelea kumuombea mpaka afufuke siku ya tatu na atabaki kua ndo MKOMBOZI wa TANZANIA
 
Usimfananishe mwana wa Mungu na Magufuli.

Kama unasubiri siku ya tatu afufuke endelea kuomba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…