Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 13,625
- 29,891
Alikuwa mwalimu wetu wa Madrasa. Mimi na wenzangu watatu hatukuwa tunapatana naye sababu alikuwa akipendelea sana mabinti flani wawili. Akina Husna na Zuwena. Hawa walikuwa hata wakichelewa vipi wala hawachapi kama sisi
Siku tumemaliza nakumbuka tulikubaliana na wenzangu tukamwekee kumbukumbu kwake. Alikuwa anaishi peke yake si mbali na madrasa. Tulienda usiku umeme haukuwepo kipindi hicho. Mimi na Juma tukakojoa mlango pake.
Ila wale wenzetu wawili wakaweka haja kubwa. Wale madogo hawakuwa na akili kichwani. Imagine kabisa wakashusha kaptula na kunya bila woga.
Wakati huo ustaadhi yupo swalani. Maana watu tulikuwa tunajua kuwa lazima ataenda msikitini. Sijui aliporudi nini kilitokea. Hakutuona tena madrasa
Yale machizi mawili moja leo linaniambia mzee... Ameaga dunia. Sikuwahi hata mwomba msamaha.
Siku tumemaliza nakumbuka tulikubaliana na wenzangu tukamwekee kumbukumbu kwake. Alikuwa anaishi peke yake si mbali na madrasa. Tulienda usiku umeme haukuwepo kipindi hicho. Mimi na Juma tukakojoa mlango pake.
Ila wale wenzetu wawili wakaweka haja kubwa. Wale madogo hawakuwa na akili kichwani. Imagine kabisa wakashusha kaptula na kunya bila woga.
Wakati huo ustaadhi yupo swalani. Maana watu tulikuwa tunajua kuwa lazima ataenda msikitini. Sijui aliporudi nini kilitokea. Hakutuona tena madrasa
Yale machizi mawili moja leo linaniambia mzee... Ameaga dunia. Sikuwahi hata mwomba msamaha.