COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
1. Ipende nchi yako ya Tanzania kuliko chama chochote cha SIASA.
2. Iheshimu mamlaka ya nchi kwani kila mamlaka hutoka kwa MUNGU
3. Usimtamani mwanachama wa chama kingine, wala mali zake wala chochote alichonacho.
4. Usiwe kigeugeu au muongo kama viongozi wa CHADEMA
5. Usiwe mnafiki kama viongozi wa CCM kwa kuipinga katiba ya nchi yako
6. Usiwe FISADI wa mali ya umma wala mali ya nchi jirani.
7. Usichonganishe Watanzania kwa udini au ukabila.
8. Usitafute uongozi kwa njia za kishirikina
9. Usitoe wala kuchukua Rushwa
10. Simamia haki, usawa na maslahi ya Watanzania wote
2. Iheshimu mamlaka ya nchi kwani kila mamlaka hutoka kwa MUNGU
3. Usimtamani mwanachama wa chama kingine, wala mali zake wala chochote alichonacho.
4. Usiwe kigeugeu au muongo kama viongozi wa CHADEMA
5. Usiwe mnafiki kama viongozi wa CCM kwa kuipinga katiba ya nchi yako
6. Usiwe FISADI wa mali ya umma wala mali ya nchi jirani.
7. Usichonganishe Watanzania kwa udini au ukabila.
8. Usitafute uongozi kwa njia za kishirikina
9. Usitoe wala kuchukua Rushwa
10. Simamia haki, usawa na maslahi ya Watanzania wote