Nimeshindwa kufanya mapenzi

watu wenyewe ndio hawa mara haisimamami kutwa kulalamika,umeshachezea hadi wake za watu unajisifia wacha ilale au kama vp ikalishe
 
Ooh asante Mungu wa Mbingu na Nchi maana wakiambiwa waache zinaa hawataki! endelea kuwa aibisha na kuwafedhehesha mbele ya wapenzi wao mpaka wajue aliye juu ana miliki na kutawala.
 
mwisho wa siku hisia zinapanda sana na kujaribu kufanya kitu inagoma. Anyway bado natafuta kujua kaka kuna zaidi ya over excitation au kitu kingine.


kikubwa ni kwamba Yesu Kristo wa nazarethi anakutafuta uache zinaa vinginevyo atakufedhehesha mpaka utatamani upotee chini ya ardhi.
 
Asali kijiko kimoja kikubwa changanya na vitunguu thomu vilivyotwangwa tumia asubuhi na jioni,(orally)
 
Ulipania sana mkuu mmh na unapokutana nae mchukulie ni wa kawaida sana
 

Definition yako ya upendo inabidi upewe kadi ya uanachama wa chema letu.

Cc: babu Asprin - mshauri mwelekezi
Kaizer - mwenyekiti
Nicas Mtei - Secretary for Ideology and Publicity
KakaKiiza - katibu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu me naona ni presha tu coz inaelekea mtt yupo levo za juu kulingana na sehem ambazo umeshawahi kupita.So kunawakat mtu unakua huamini kama kweli amekubali kukuvulia pichu.So kitu chamsingi unapokuwa ulingoni usipaniki we relax tu na wala ucwe na hofu juu ya yaliyo tokea awali
 
mke wa mtu huyo, shauri yako!! safari ijayo utagandishiwa humo..
 
Ngono zembe ni hatari kwa maisha yako! Mda mwengine mizimu ya kwenu inakuepusha na matatizo! Oooh!
Sasa bidada hapo akiweka ndomu si itakuwa nyoronyoro kitu pyuwa redha kitu hakuna unadhani nini tena hapo!
 
Mwanangu imeishawahi kunitokea nikwamba demu unampenda na ulimkamia sasa mshawishi mkaenaye usiku mzima atakimbia pili wakati unapakitu chungulia papuchi uangalie mashine imavyoingia na inavyotoka halafu uone ukifanikiwa ni pm nikuongezee maujanja usinywe madawa wala nini! Banzi
 
Last edited by a moderator:
Tatizo hapo ni saikoloji tu, kwamba wewe unapania sana kuonyesha maufundi yako ndo mana unakuta unaperform chini ya kiwango, next time ukikutana nae relax tu na mchukulie kama wa kawaida, then piga bakola utanipa jibu. Usifu uwa zinatokeaga hizo.


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Dah pole sana mkuu tatizo lako ni kupania game kwa muda mrefu sana cha kufanya tuliza mzuka kama unatumia biere piga kadhaa ili kupunguza stress mkubwa jib utanipa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…