Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,782
- 35,199
Hayatoshi.Kwani mafuta ya Saudia, UAE, Bahrain na Qatar hayatoshi?
Hayatoshi.Kwani mafuta ya Saudia, UAE, Bahrain na Qatar hayatoshi?
Inawekewa na tunajiwekea pia. Wote tunakwenda kusafa
Lengo kuu kumfitinisha na Mrusi kwa kutumia kipande cha mkate huku ukiwa na njaaNa utakuwa ndio mwisho wake.
Unampa adhabu mtu kukaa juani na mwenyewe unamsimamia hapo hapo juani kutwa nzima ndio hii, marekan uwezo wa kufikir ushafika mwisho sasa hivi anabahatisha tu nae aonekane mtu basiNatizama habari mda huu UTV, Evona Kamutu amuhoji mmoja wa watanzania anayeishi Alabama, anadai bei ya mafuta Marekani imepanda karibia mara mbili.
Hawa jamaa ni viazi sana, vikwazo wanaweka wao wenyewe halafu wanamlilia waliomuwekea vikwazoUnampa adhabu mtu kukaa juani na mwenyewe unamsimamia hapo hapo juani kutwa nzima ndio hii, marekan uwezo wa kufikir ushafika mwisho sasa hivi anabahatisha tu nae aonekane mtu basi
Wewe ndio uko nyuma ya wakati! Maduro kawageuka! Kasema wamtambie kwanza rasmi kuwa ndiye Rais halali wa Venezuela Kisha warudishe pesa zote walizochukua kwa nguvu na kumpatia kibaraka wao Guaido.Uko wapi mkuu!!mbona nchi karibia zote za ulaya tayari zimeshakubali kuachana na mafuta ya urusi, kwa muda tofauti tofauti, UK, yeye amesema kufikia mwishoni mwa mwaka huu, atakuwa ameshaachana nayo kabisa!!na VENEZUELA, ameshakubali, saudi arabia naye, na OPEC+, tayari wameshakubali kuongeza uzalishaji mafuta kwa wingi!!URUSI, huko tuendako ataishi maisha ya kiyatima yatima.
Muda ni mwalimu mzuri!!utaongeaWewe ndio uko nyuma ya wakati! Maduro kawageuka! Kasema wamtambie kwanza rasmi kuwa ndiye Rais halali wa Venezuela Kisha warudishe pesa zote walizochukua kwa nguvu na kumpatia kibaraka wao Guaido.
Lakini pia akasema urafiki wake na Putin usiguswe!! Kuona hivyo Marekani kasepa!!
Mkuu inaelekea unachuki sana na America 🤣🤣Marekani inatapatapa! Inaeaza kueageukia mahasimu wake ikiwemo Iran!!
Unawezaje kuwapenda watengenezaji wa virus vya maangamizi kwa binadamu?? Mfano HIV, Ebola, covid-19 nk. nk...Mkuu inaelekea unachuki sana na America 🤣🤣