Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,733
- 10,928
Kapime corona.kama alitoroka dar kukufuata, uko hatarin
Kapime corona.kama alitoroka dar kukufuata, uko hatarin
Mwanangu kaza simama kama mwanaume unachojidanganya ww kua unampenda ila ukweli ni kua now hauna mpenzi naye hayo ni mazoea tu yanayokusumbua usirush mambo jipe mda moyo utauma ila utafika kipindi utakua haumi kama mwanzo jipe mdaKweli kabisa kaka, hicho kinyongo ninacho mpaka sasa.... Aisee yani nina kinyongo afu nampenda saa zingine, yaani sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kaka, mazoea nahisi ndio yananitesaHamna kitu humo na kinachokutesa ni mazoea tu wala sio Upendo kama unavyodhani, mbona wapo wengi tu Mkuu acha huyo aendelee kulea mwanae
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijaribu kumwambia na akakubali na hata familia yake imekubali nimuoe mke wa pili, ila sasa hata huyo wa kwanza Kiukweli sina.. Hapo ndio tabu ilipo... wanawake Kama hao nawaweka nafasi ya pili,hafai kuwa mke wa kwanza...na akikataa uke wenza ndo amenpa sababu ya kummwaga kabsaa...
We jamaa, sina maamuzi yeyote nilio amua mbonaHuyu bwana Mdogo kisaikolojia ni kwamba amekuja kupata justification tu hapa katika Yale aliyoyaamua moyoni na kichwani mwake japo ana hofu Fulani kutokana na maamuzi yake. Trust me, maamuzi ameshafanya anachofanya hapa ni kutafuta waungaji mkono kwa uamuzi alioufanya na si kutafuta ushauri kwa sababu nimesoma Uzi wake Na kusoma anayowaandikia watu wanaomshauri. Kiukweli anawafurahia sana wanaomwambia amuoe!
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa pole sana, ila bora wewe alisema mapema... Sasa mimi nimekuja kujua mtoto ana miezi sita ndio nakwenda kwao kitoa mahari... Afu familia yake inasema... Kama hutaishi na mtoto, muache mwenetu, au umleee... Aisee nililia ndugu yangu nililia kabisa yani.. Mana miaka minne yote tayari nilisha msaini kwenye maisha yangu.... Mpaka sasa yaani kitu cha kunisaidia kumuacha, nipate hata kahaba aisee linipende tu basiMoon boy ata mm limenikuta wiki ilo pita yani mwanamke nlishamtambulisha adi kwetu kabisa ati kaja niambia ana mimba ya mwanaume mwingine cha muhimu piga chini tuu kama mm sku ananiambia nmelia sku 3 nampenda sana lakini sitaweza tena kua nae asee! Maji yakimwagika hua hayazoleki tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakupend wala nini hana pa kushika n kesha kuon wewe boyaBora angechovya bila mimba.. Sasa tatizo ni mimba, na ananipenda sjui kwanini
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaahhhh Brother, thanks so much umeongea sana broo, thanks sana kaka, hongera zakoNisamehe ila huruma yako utajaijutia soon or later.
Kama huwajui wanawake endelea na NAMPENDA SANA yako.
Kwanza kama hukuwa na doubt kuhusu yeye usingekuja huku, ungeingiza ndani na mahari ungelipa.
Sasa ukiona kitu umekileta humu ujue kuna tatizo somewhere.
Stuka. Acha huruma. Hayo ni maisha yako.
Asikudanganye mtu eti anaweza kumuacha mtoto wake huko labda kwa bibi ukakaa naye peke yake.
Hapo mission ni kuwa akishaingia, ataanza kumkumbuka mtoto na bila shaka kwa vishawishi vyake atamleta tu hata ikibidi asingizie anaumwa sana, then what do you think will happen?
Baba mtu atakuja kumsalimia mwanaye bila wewe kujua, na kifuatacho....kumzibua mtoto masikio.
Kwa huyo mume mwenzio itakuwa anasema hawara hana talaka.....anagonga mdogomdogo,...
Ah ngoja Wengine wakupe ushauri.
Ila nawe usikilize moyo wako mdogo wangu.
Sawa broo nimekuelewa, kweli ni mazoeaMwanangu kaza simama kama mwanaume unachojidanganya ww kua unampenda ila ukweli ni kua now hauna mpenzi naye hayo ni mazoea tu yanayokusumbua usirush mambo jipe mda moyo utauma ila utafika kipindi utakua haumi kama mwanzo jipe mda
Sent from my EML-L29 using JamiiForums mobile app
Knockout vipi wakati game inaendelea?