Soweto2006
Member
- May 8, 2021
- 45
- 208
Leo kwa mara ya kwanza nahisi naishi duniani baada ya recovering ya corona.
Nimeugua sana kwa week mbili, ombi langu kwenu wote kama una magonjwa kidogo kama BP, Sugar, TB, HIV nakadhalika, jitahidi kwa nguvu zote kuiepuka Covid19.
Yaani hakikisha haikupati ndugu yangu
Nimeugua sana kwa week mbili, ombi langu kwenu wote kama una magonjwa kidogo kama BP, Sugar, TB, HIV nakadhalika, jitahidi kwa nguvu zote kuiepuka Covid19.
Yaani hakikisha haikupati ndugu yangu