Nimepokonywa mapenzi. Inaumaaaa

Kwanza sii kweli kuwa kila mwanaume huwa anachepuka pindi awapo mbali na mpenzi/mke wake kwa sababu wapo ambao hawafanyi hivyo. N pia km unampenda mpenz wako bhac yakubid umvumilie tuu
 

Mambo mengi mmeshea ya maneno au mali mumeandikisha pamoja?
Huna pawa juu yake wewe sio mke wake.. vizuri umejijua ulikuwa ndio king'ang'anizi.. sasa umejifunza itakusaidia baadae.

Hata wazungu nao ni binadamu.. yanaweza kukukumba tena zaidi ya hayo.. Inaelekea unahitaji kujitambua na kujiongeza.. badilika usiwe ulivyojiona umekuwa kwake.. ili mbeleni ufaidi..

Kila la kheri
 
Miaka 4 mnapanga ndoa tu?!..utoto bwana
 
Pole saaana dada.

It seeem u mvumilivu na una mapenzi ya dhati.
Can we talk
 
Kuna msemo wa wenzetu walio OKOKA huwa naupenda sana,wao husema,"Hayo ni mapito"
 
Embu futa no yake hata mwezi mmoja.utapata jibu.
 
Hivi nani aliktupa moyo wa kupenda kipumbavu namna hii?

Hii lililo moyoni litanipasua.
 
Haya mambo haya, kuna siku nilikuwa sehemu jamaa mmoja alikuwa na dada yake wanakula kitimoto akapigiwa simu na demu wake lakini ikaonyesha hampendi huyo demu. Alichofanya alimwelekeza dada yake apokee hiyo simu ajifanye ni mchumba ake, dada mtu akafanya hivyo akamfokea dada wa watu asimfatilie tena mchumba ake mpiga simu akaomba samahani tu.
 
Hiyo ni kawaida tu sister, fuata anachokuambia jamaa,wanaume sometimes tunapitiwa
 
Pole mpendwa kama vipi we jipange tu kivingine wala usiumize sana moyo wako.
 
pole dada. badilisha title mtu mzima haibiwa wala kupokonywa anaenda kwa utashi wake. je mna mtoto au chochote cha kuwafunganisha kama mali kama sio basi uhusiano unaishia hapo unaendelea na maisha yako. all the best
 
Chakushangaza mpenzi wangu ananiambia nisimuamini huyu dada anataka kuharibu mahusiano yetu. Na bado nampenda.

Wanawake wenzangu hapa inakuaje ? Je wewe ikikukuta hii utafanyaje?

He be cheatn' on u for a long time!
Msamehe, ila mpige biti
 
Kwanza katafute tafiti jogoo mmoja anauwezo wa kuhudumia matetea wangapi halafu uje sasa nikushauri
 
Me nilipitia situation kama yako hii uyo kaka anaishi na uyo mwanamke asikupoze kwa maneno ya kusema usimwamini jua tu kua anaishi nae uyo Dada pole sana jiandae kisaikolojia rafkangu japo ni ngumu coz unampenda mshikaji apo utashangaa kashampa na mimba tyari....jiandae tu me yalinikuta kama ya kwako nilikubali kuachia ngazi na kumove on japo ilikua ngumu but nw am fine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…