Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
Za asubuhi wanaJAMII!
Nina changamoto Mkuu wenu, nimepishana na zoezi zima la uandikishaji kwa ajili ya Nationl IDs, mimi na kaya yangu nzima.
Wakati zoezi la uandikishaji linaanza DSM, mimi na kaya yangu hatukuwepo DSM, nilikuwa kikazi mkoani, nikabeba na kaya yangu yote nikaondoka nayo mkoani! Zoezi likaisha DSM.
Kule mkoani nilikokuwa, nikavunja ndoa na mwajiri wangu, nikapata mwajiri mpya DSM, nimerudi na kaya yangu yote, nimekuta watu wa DSM ndio kwanza wanapewa IDs zao!
Msaada, naanzaje taratibu za uandikishaji, kwa mimi na wanakaya wangu wote!
Nawatakia asubuhi njema
Nina changamoto Mkuu wenu, nimepishana na zoezi zima la uandikishaji kwa ajili ya Nationl IDs, mimi na kaya yangu nzima.
Wakati zoezi la uandikishaji linaanza DSM, mimi na kaya yangu hatukuwepo DSM, nilikuwa kikazi mkoani, nikabeba na kaya yangu yote nikaondoka nayo mkoani! Zoezi likaisha DSM.
Kule mkoani nilikokuwa, nikavunja ndoa na mwajiri wangu, nikapata mwajiri mpya DSM, nimerudi na kaya yangu yote, nimekuta watu wa DSM ndio kwanza wanapewa IDs zao!
Msaada, naanzaje taratibu za uandikishaji, kwa mimi na wanakaya wangu wote!
Nawatakia asubuhi njema