waungwana nimepima ukimwi hiv mara tata kwa miaka mitatu na nikawa sina maambukizikwa maana 2014, 2014mwishoni na mwezi huu wa nne 2015.hayo ni maneno aliyokuwa anasema mchumba wa rafiki yangu huku nasikia sasa nikapata shida inawezekana akawa mzima au ananiamba mimi ninao au vipimo vya HIV ni lazima miezi ifatane au na huyu kapima deffer area.
Na vipimo hivyo ni maeneo tafauti