Nimepima Hepatitis B niko positive

Mimeku pm mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vidonge vya ARV vinakuhusu kama starting dose ...kwa asiyeelewa akikuuona navyo anajua umeungua kumbe huwa vinatumika kama tiba ya HAPITATISI B

sent from toyota Allex
 
Ili kujua kama acute infection or chronic wingi wa virusi (viral load) iwe ngapi? Mwenye kufahamu please share with us.
 
Ndio sababu, ARV zinatumika ..nakama ni acute nirahisi kupona kama utafuata Mashariti kwa muda huo wote .
Naomba kujua mashariti doctor.
Kuna mtu tulienda kuchangaia damu pale bank ya taifa ya damu akautwa na Hepatitis B kapewa dawa ila jamaa nahisi hafuati mashariti.
Alizidisha pombe n.k.

Kinachoniuma mimi ndiye nilie muomba tukamtolee mtu damu, sasa naona kama ndio nilimpeleka kwenda kujua matatizo yake nikamsababishia kupagawa.
Najifariji huenda nimemsaidia kupata tiba mapema labda atapona.
 
Geita ni hatari, HIV nayo inashika kasi sana mitaa hiyo.
Mambo ya machimbo ya dhahabu hayo yana ambatana laana na neema.
 
Ila kama HBV anaweza kuisha kabisa kws dawa.. kwanini HIV haishi ? Au ana genetic stricture tofauti na Virus wengine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari,
Katika mazingira halisi hutakiwi kuanza dawa mara tu unapojulikana una homa ya ini.

Kitu kinachotakiwa ni kwenda hatua ya pili ambayo ni kujua ugonjwa kama ni wa muda mrefu (chronic) au muda mfupi (acute).

Pia vipimo hufanywa zaidi ili kutambua kama mgonjwa amefikia hatua ya kuanza dawa, ambapo vitu vitatu hupimwa:
1: Kiasi cha virus ( viral load)
2: Uwezo wa ini kufanya kazi kwa kuangalia vichocheo vinavyotolrwa na inn
3: Kuangalia maumbile ya ini kwa ultrasound
na pia huweza kufanywa biopsy (kinyama) ili kuhakiki hali ya ini.

Kwa magonjwa ya virusi kama Homa ya ini na HIV, unaweza kupona kwa kuchukua dawa mara tu inapotokea umejikuta kwenye hatari au nafasi ya kugusana na chanzo cha maambukizi na kuchukua dawa (PEP) ndani ya masaa 72 na si pale ugonjwa unapokuwa umesajiliwa mwilini tayari.

Mengine hubaki kuwa miujiza na nafasi zake.
 
...vipimo unaweza pata hata temeke hosp or mnaz mmoja ila chanjo n ocean road unaenda na kadi tu maana majibu yanawekwa n database na sindano n 3 kila moja elfu 10..binafs nlifanya vipimo tmk hosp then chanjo nkaenda direct ocean road nkakuta majibu yapo kule...ocean road kuna folen kubwa ya wanahitaj vipimo ya huo ugonjwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…