Nimepigiwa simu na DHL


Nimejaribu kufuatilia nimeconfirm kwamba ni matapeli tu. Email inatoka kwa sonu@delhivery.com. yaani wamejaribu kufake website inayofanana na DHL .

Kitu chengine cha msingi kwa wana jf ni kwamba haya mambo si kama ni hadithi na pia sisi si wazembe. Si busara kudhihaki waathirika. Matapeli kila siku wanabuni mbinu mpya za kutapeli watu . U will never know when u will be victimised . Be careful u have been warned.
 
Investigator

Nilishawahi kupokea ujumbe kama huo, nikapotezea tu, kwa kuwa sikutumiwa mzigo na mtu yeyote, nikahisi DHL wamejichanganya.
Ila sasa ndo umenistua, itakuwa ni hackers hao
 
Last edited by a moderator:
Tatitizo umeshafungua hiyo email ,kwahiyo kirusi kimeshaingia kwenye pc au simu yako. Jaribu kufanya tracking ya hiyo no uone uhalusia.
Lakini hizo ni message za virus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…