Fredinandmarcel
Member
- May 29, 2013
- 25
- 8
Habar zenu wana jamiiForum nilikuwa naomba mnipe ushaur kuhusu hili-:Kuna siku wakat napiga simu nikakosea namba moja tu akapokea msichana kama mnavyojua vijana kupokea nikamwambia kuwa nakupenda akakataa kabisa baada ya kupita siku 2 akanipigia simu ndipo aliponimbia amekakubali nikamuuliza unaishi wapi akaniambia anaishi arusha me nikamwambia nipo dar nikamuuliza una mpenzi?akajibu alishakuwa nae ila ana miaka 3 mpaka sasa hajawahi kumwona na akipiga simu yake haipatikani nikaendelea tena kumuuliza unaishi na nani akajibu naishi na wazazi wangu,kaka na mdogo wangu wa kiume ila mara kwa mara wazazi wangu huwa wanasafiri wanaenda nchi za nje zikapita wiki mbili cha kunishangaza zaidi alianza kunitumia pesa mara kwa mara.Siku akaniuliza unakuja lini nikamjibu sina nauli nikipata nauli nitakuja tukaendelea na mazungumzo ya kawaida siku zikaendelea kupita siku moja asubuh akapiga simu akaniambia nakutumia nauli nataka uje kweli akanitumia nauli ananitaka niende ila sasa hapo ndo pananikwaza mimi jamani nipeni ushauri.