Fredinandmarcel
Member
- May 29, 2013
- 25
- 8
Habar zenu wana jamiiForum nilikuwa naomba mnipe ushaur kuhusu hili-:Kuna siku wakat napiga simu nikakosea namba moja tu akapokea msichana kama mnavyojua vijana kupokea nikamwambia kuwa nakupenda akakataa kabisa baada ya kupita siku 2 nikampigia tena ndipo nilipomwambia tena akakubali nikamuuliza unaishi wapi akaniambia anaishi arusha me nikamwambia nipo dar nikamuuliza una mpenzi?akajibu alishakuwa nae ila ana miaka 3 mpaka sasa hajawahi kumwona na akipiga simu yake haipatikani nikaendelea tena kumuuliza unaishi na nani akajibu naishi na wazazi wangu ila mara kwa mara huwa zikapita wiki mbili akaniuliza unakuja lini nikamjibu nikipata nafasi nitakuja tukaendelea na mazungumzo ya kawaida siku zikaendelea kupita