hiyo ni chaneli ya wapi?..
hiyo ni chaneli ya wapi?..
nakumbuka wakati mmoja nilisafiri ubelgiji mzungu mmoja huko akaniuliza nimetoka nchi gani nikamwambia tanzania akashangaa sana akaniambia kwa kweli hajawahi kusikia nchi kama hiyo basi nikamwambia tunapakana na kenya akasema kenya inatambulika sana na anaifahamu vizuri akaniambia ana rafiki amewahi safiri mbuga ya serengeti nchini kenya nikamwambia iko tz akashangaa tena akasema huyo rafiki pia alisafiri mji wa dar es salaam ambao ni mji wa pwani ya kenya nikachoka kumjibu
nakumbuka wakati mmoja nilisafiri ubelgiji mzungu mmoja huko akaniuliza nimetoka nchi gani nikamwambia tanzania akashangaa sana akaniambia kwa kweli hajawahi kusikia nchi kama hiyo basi nikamwambia tunapakana na kenya akasema kenya inatambulika sana na anaifahamu vizuri akaniambia ana rafiki amewahi safiri mbuga ya serengeti nchini kenya nikamwambia iko tz akashangaa tena akasema huyo rafiki pia alisafiri mji wa dar es salaam ambao ni mji wa pwani ya kenya nikachoka kumjibu
Sio utapeli ni marketing...biashara matangazo,huwezi kulala ofisini kama bodi yetu ya utalii inavyofanya then you expect people to just come and see what you've.Strategic marketing.You can't be serious! Dunia ilishajua ukweli na utapeli wa wakenya uko wazi!
nakumbuka wakati mmoja nilisafiri ubelgiji mzungu mmoja huko akaniuliza nimetoka nchi gani nikamwambia tanzania akashangaa sana akaniambia kwa kweli hajawahi kusikia nchi kama hiyo basi nikamwambia tunapakana na kenya akasema kenya inatambulika sana na anaifahamu vizuri akaniambia ana rafiki amewahi safiri mbuga ya serengeti nchini kenya nikamwambia iko tz akashangaa tena akasema huyo rafiki pia alisafiri mji wa dar es salaam ambao ni mji wa pwani ya kenya nikachoka kumjibu