Nimepata mrembo bikra, Nipeni ushauri

Nimepata mrembo bikra, Nipeni ushauri

Baada ya kumlia mingo hatimae kaingia kunako kumi na name,mrembo !mrembo kweli kaumbika.Kajisododoa eti yeye ni bikra na hajui siku tukifokonyoana itakuaje mana anaogopa na hajawai.Mimi vilevile jamani bikra yenyewe sijui hata ikoje.Sasa nilikuwa naomba ushauri kwa wazoefu waliowahi kufokonyoana eti inanoga kwa kondom au kavukavu.
f713209d3ab25ba7e517a41fa52b5b76.jpg
zingine hizi
 
Mkuu hadi siku mtakapofokonyoana ndio uamini kuwa bikra.
Usije uziwa mbuzi kwenye gunia.
 
Umeliwa tayali, na nahisi umeshampa na hela ya mtaji
 
Baada ya kumlia mingo hatimae kaingia kunako kumi na name,mrembo !mrembo kweli kaumbika.Kajisododoa eti yeye ni bikra na hajui siku tukifokonyoana itakuaje mana anaogopa na hajawai.Mimi vilevile jamani bikra yenyewe sijui hata ikoje.Sasa nilikuwa naomba ushauri kwa wazoefu waliowahi kufokonyoana eti inanoga kwa kondom au kavukavu.
Hapana mkuu,iweke kwenye fremu tundika ukutani,usijaribu kabisa kuitoa utaijutia.
 
Ukiingia Nae Akaanza Kuvua Nguo Mwenyewe Mara Javaa Taulo Kaenda Kuoga Karudi. Jua Hapo Ni Umebashiteliwa.
 
  • Thanks
Reactions: SDG

Similar Discussions

Back
Top Bottom