Mayor Slum
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 751
- 1,121
Fanya tu alafu uanze kutafuta sehemu ikiacha unakuja kukaa mtaani Unakuwa jobless Fanya alafu uanzekutafuta sehemu ingine ukipata unahama fastafasta. kuna watu hawana ajira sasa hivi Mwaka wa Tano
NIUNGANISHE NAO KAMAVIPI coz NATAMBUA LUGHA YAO.0623807466habari zenu wakuu nimepata kazi kwa WACHINA mshahara laki 4 hakna allowance yoyote ila sina amani nayo kabisaaaa
Haya ni maneno ya watu waliojaa hofu ya maisha,Ukiona kazi kufanya kazi acha kazi uone ilivyo kazi kukaa bila kazi
Bahati mbaya sana sijaajiliw..Haya ni maneno ya watu waliojaa hofu ya maisha,
hofu ndio zimetusababishia vijana wa kitanzania maisha magumu,
hemu jiamini na uwe mwenye maamuzi juu ya maisha chanya kwa kesho yako,
Mimi nilishalipwa mishahara ya kiwango hicho lakini niliamua kuacha baada ya miezi mitatu nikajiajiri na leo ninaingiza zaidi ya 5milions kwa mwezi.
Hofu ndio muharibifu mkubwa juu ya hatma ya maisha yako ya kesho,
Kijana acha hofu amka.
wapi huko kama vipi na mimi niunganishe basi ninateseka sana natafuta kazihabari zenu wakuu nimepata kazi kwa WACHINA mshahara laki 4 hakna allowance yoyote ila sina amani nayo kabisaaaa
Mkuu, Hongera na Pole pia labda weka wazi kwa nini hauna Amani? Ikiwa ndio kazi yako ya kwanza na hauna other options komaa upate japo uzoefu tu kwa kipindi flani ila kama unakula na kulala kwenu na hauna pressure ya Maisha unaweza uka kaa kibarazani kwenu usubiri rafiki zako wa rudi makazini mpige stori!habari zenu wakuu nimepata kazi kwa WACHINA mshahara laki 4 hakna allowance yoyote ila sina amani nayo kabisaaaa