Kwann?habari zenu wakuu nimepata kazi kwa WACHINA mshahara laki 4 hakna allowance yoyote ila sina amani nayo kabisaaaa
Huna amani na Mshahara au huna amani na Kazi?habari zenu wakuu nimepata kazi kwa WACHINA mshahara laki 4 hakna allowance yoyote ila sina amani nayo kabisaaaa
Mkuu niaje??Wewe unatafuta amani au kazi???
Kijana hajui anachotafutaWewe unatafuta amani au kazi???
Ni kazi kutafuta kazi kama huna kazi, lakini ni vizur sana kutafuta kazi ukiwa ndani ya system ya kazi, sasa ukitaka kuona umuhimu wa hiyo kazi acha kazi kisha anza kutafuta kazi, ndipo utapoona Profesa J ya aliposema ukitaka kujua umuhimu wa matako kalia kichwa
Mentality za kitumishiUkiona kazi kufanya kazi acha kazi uone ilivyo kazi kukaa bila kazi