Punguani wahead weweNiliweka mkeka mkubwa sana kuwa Simba itshinda kwa magoli zaidi ya matano hasa kwa vile nilijuwa usajiri wa fountain gate una walakini. Dah, nimepoteza kila kitu naomba michango yenu kunisaidia angalu kupata ugali wa kesho!~
Aliomba goli tano .Uliweka option gani??? Maana simba kashinda goli 3
Akazifunge sasaa🙂😀😀😀Aliomba goli tano .
Huo ujasiri aliokuwa nao ni zaidi ya kwenda kambi ya jeshi Lugalo ukawatukane wanajeshi wote pale.Akazifunge sasaa🙂😀😀😀
😆😆 kula chumvi na maji mkuuNiliweka mkeka mkubwa sana kuwa Simba itshinda kwa magoli zaidi ya matano hasa kwa vile nilijuwa usajiri wa fountain gate una walakini. Dah, nimepoteza kila kitu naomba michango yenu kunisaidia angalu kupata ugali wa kesho!~
Labda ndo anajifunza kubet😀😀😀 Sasa alianzaje kuweka mamilionHuo ujasiri aliokuwa nao ni zaidi ya kwenda kambi ya jeshi Lugalo ukawatukane wanajeshi wote pale.
Haha ni noma , Melo afanye kuingilia kati hapa, maana jamaa ni platinum member kabisa.Labda ndo anajifunza kubet😀😀😀 Sasa alianzaje kuweka mamilion
Mtu mkubwaaa sanaa 😀😀Haha ni noma , Melo afanye kuingilia kati hapa, maana jamaa ni platinum member kabisa.
Ndo hivyo tu amejaa kwenye chombingo ya kanji 😂Mtu mkubwaaa sanaa 😀😀
Ungeiweka Yanga kwenye mkekaNiliweka mkeka mkubwa sana kuwa Simba itshinda kwa magoli zaidi ya matano hasa kwa vile nilijuwa usajiri wa fountain gate una walakini. Dah, nimepoteza kila kitu naomba michango yenu kunisaidia angalu kupata ugali wa kesho!~