Traveller_mona
Member
- Jan 11, 2019
- 94
- 161
mkuu wanaendaga nayo kwenye uzalendo hivo ikifika intro na mwanzo wa six week pale ndo wanaiachaga completed,,,akuna mbishi kule cjawaigi kuona mimiushawahi kukaa kikosin hata week moja tu?? hyo akili ya ubish watu huwa wanaiachaga getini mzee