Financial Freedom
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 1,244
- 2,290
Mzee nilipitia kwa mujibu wa sheria ile ya miezi mitatu...ila nilikuwa mbishi sana na kozi sikuifanya vizuri maana mpaka mkuu wa kikosi alikuwa ananitafuta,nalala maporini hukoushawahi kukaa kikosin hata week moja tu?? hyo akili ya ubish watu huwa wanaiachaga getini mzee