Kuna tofauti gani na hapo Machinga Complex ya Dar ipo katikati ya mji pia na daladala zote zinafika/pita pale. au kuna kitu kingine ulitaka kusema. Kifupi hakuna maajabu yeyote hapo machinga complex ya Dodoma
Kuna tofauti gani na hapo Machinga Complex ya Dar ipo katikati ya mji pia na daladala zote zinafika/pita pale. au kuna kitu kingine ulitaka kusema. Kifupi hakuna maajabu yeyote hapo machinga complex ya Dodoma