Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 9,874
- 8,895
This is the only way ya kutoa mfupa kooni, pole sana. Hamia ukerewe ujifunze jinsi ya kula samaki, mfupa hutakaa ukukwame tena
Hahaha,we Ram Ukerewe huko sitaki hata kupasikia aisee.
Uchawi nje nje,kuna watu walikuwa wanapotea hovyo mpaka leo hawajulikani wapo wapi.
Bora Sumbawanga kuliko Ukerewe kwa juju.