HUYU MAROPE AKIPATA UPRESDIAA SAFI SANA WANI WATU WA PWANI HAWANA CHOYO..TUTAJIPIGIA KAMA ENZI ZA KIKWETWE AMBAPO KILA MTU KWENYE MEZA YAKE ILIKUWA FURSA KILA MTU KUPATA.HUYU WA SASA KAKAZANA KUBAMA FEDHA ILI AWAJENGEE WANANCHI MABARABARA AKIZANI WANANCHI WANAMPENDA KUMBE WAPI. MAROPE CHUKUA USAUKANI TUILE NCHI KAMA ENZI ZA KIKWETE NA MWINYI..
Masahihisho - Pamoja na kwamba ni waziri kijana ila hajawahi kuwa kipenzi cha vijana .Ni Waziri wa mambo ambayo yanamzunguka na yaliyo karibu na Mwanadamu yoyote yule iwe mchana au usiku ( 24/7 ) katika Serikali ya Puerto Rico aitwae Mheshimiwa Mwanzomwaka Marope ambapo katika hali isiyo ya kawaida leo nimeoteshwa kuwa muda si mrefu anaweza ' akatumbuliwa ' na ' Bosi ' wake Rais Dkt. Join Brew Padlock kwakuwa ameonekana kuwa Kipenzi na Mtetezi wa ' Wakosoaji ' wa huyo Bosi wake.
Hata hivyo namwombea sana kwa Mungu huyu Waziri ambae Kiasili kabisa anatokea katika Jimbo moja maarufu huku Puerto Rico liitwalo 'NatangaTanga ' kwani Wana Kisiwa hiki tumeanza kuona kwamba huenda anaweza akawa ni Mrithi mzuri wa Rais huyu wa sasa pale akimaliza rasmi muda wake.
Nawasilisha.
Mkuu kumbe nimechanganya madesa. Samahani sana Mkuu. Wasalimie huko Puerto Rico
Mmmmh!P U N G A huyo ndiwe awe rais!!
Umemsahau Swaiba Pauli MaslimZimeshafika Siku nyingi Mkuu na Wewe nisalimie sana Tanzania huko uliko na hasa hasa Mohammed Dewji, IGP Sirro, RPC Mambosasa, CCTV Camera, Toyota SURF Nyeusi na Bluu na AK 47 pamoja na Pistols zake. Natamani sana kurudi huko Tanzania ila bado nahangaika kutafuta Nauli ili nirejee.
Huyo ndiye alikua meneja wa vijana wa IT kule masaki wakati wa uchaguzi ngoja aiosome nambaNi Waziri wa mambo ambayo yanamzunguka na yaliyo karibu na Mwanadamu yoyote yule iwe mchana au usiku ( 24/7 ) katika Serikali ya Puerto Rico aitwae Mheshimiwa Mwanzomwaka Marope ambapo katika hali isiyo ya kawaida leo nimeoteshwa kuwa muda si mrefu anaweza ' akatumbuliwa ' na ' Bosi ' wake Rais Dkt. Join Brew Padlock kwakuwa ameonekana kuwa Kipenzi na Mtetezi wa ' Wakosoaji ' wa huyo Bosi wake.
Hata hivyo namwombea sana kwa Mungu huyu Waziri ambae Kiasili kabisa anatokea katika Jimbo moja maarufu huku Puerto Rico liitwalo 'NatangaTanga ' kwani Wana Kisiwa hiki tumeanza kuona kwamba huenda anaweza akawa ni Mrithi mzuri wa Rais huyu wa sasa pale akimaliza rasmi muda wake.
Nawasilisha.
Ni Waziri wa mambo ambayo yanamzunguka na yaliyo karibu na Mwanadamu yoyote yule iwe mchana au usiku ( 24/7 ) katika Serikali ya Puerto Rico aitwae Mheshimiwa Mwanzomwaka Marope ambapo katika hali isiyo ya kawaida leo nimeoteshwa kuwa muda si mrefu anaweza ' akatumbuliwa ' na ' Bosi ' wake Rais Dkt. Join Brew Padlock kwakuwa ameonekana kuwa Kipenzi na Mtetezi wa ' Wakosoaji ' wa huyo Bosi wake.
Hata hivyo namwombea sana kwa Mungu huyu Waziri ambae Kiasili kabisa anatokea katika Jimbo moja maarufu huku Puerto Rico liitwalo 'NatangaTanga ' kwani Wana Kisiwa hiki tumeanza kuona kwamba huenda anaweza akawa ni Mrithi mzuri wa Rais huyu wa sasa pale akimaliza rasmi muda wake.
Nawasilisha.
Zimeshafika Siku nyingi Mkuu na Wewe nisalimie sana Tanzania huko uliko na hasa hasa Mohammed Dewji, IGP Sirro, RPC Mambosasa, CCTV Camera, Toyota SURF Nyeusi na Bluu na AK 47 pamoja na Pistols zake. Natamani sana kurudi huko Tanzania ila bado nahangaika kutafuta Nauli ili nirejee.
RAMLI CHONGANISHI.Ni Waziri wa mambo ambayo yanamzunguka na yaliyo karibu na Mwanadamu yoyote yule iwe mchana au usiku ( 24/7 ) katika Serikali ya Puerto Rico aitwae Mheshimiwa Mwanzomwaka Marope ambapo katika hali isiyo ya kawaida leo nimeoteshwa kuwa muda si mrefu anaweza ' akatumbuliwa ' na ' Bosi ' wake Rais Dkt. Join Brew Padlock kwakuwa ameonekana kuwa Kipenzi na Mtetezi wa ' Wakosoaji ' wa huyo Bosi wake.
Hata hivyo namwombea sana kwa Mungu huyu Waziri ambae Kiasili kabisa anatokea katika Jimbo moja maarufu huku Puerto Rico liitwalo 'NatangaTanga ' kwani Wana Kisiwa hiki tumeanza kuona kwamba huenda anaweza akawa ni Mrithi mzuri wa Rais huyu wa sasa pale akimaliza rasmi muda wake.
Nawasilisha.