kutokuwa na shule,mwanamke sio tu inakunyima fursa za kazi nzuri na kuwa na maisha mazuri...ila pia hata wachumba na mabuzi unapata yale ya low quality lol unapata mwanaume hana shule hana kazi afu bado linataka likucontrooooooooooooooooooooool.......am 28,nimeona wanaume kwa sasa hapana.....nimefoji foji nimepata chuo kimoja huku nilipo,................ natarajia kuingia mwezi wa tisa...bsc accounting and finance..ila tatizo bichwa langu zitooooooooo nahisi watanikamata lol.....kwa vile nimeshapata offer nimeamua nianze kupiga msuli kuanzia sasa kwa hio kama wewe umesoma hio course popote mlipo naombeni mnipe ushauri ninunue vitabu gani kuanzia sasa and any assistance will do........................................... JF imekuwa shule kwangu(regia rip)......ili nisikamatwe assignment zote nitakuwa naziposti humu....hahahahahah kweli vile nitakuwa nawashirikisha kuanzia mwaka wa kwanza mpaka graduation inshalaaah.........lol,kwa nyie mliosoma uk mwageni data shule ilikuwaje,nataka uzoefu wenu...maana nahisi nimejiingiza kny maji ya kina kirefu........ila kama mmeweza hata mie nitaweza tu....lol........