Wengine ndivyo tulivyoumbwa,binafsi toka ujana wangu nikiwa kwenye mahusiano sijawahi shika simu kumtafuta hata akae mwezi....-! Nakaa tayari tayari akisepa asepe tuJaribu kutafuta tatizo ni nini, unawza kukuta na yeye ana lake moyoni kuhusu wewe-kaambiwa baya au kahisi kuna baya kutoka kwako, if possible give him time alone, kabla haujafanya maamuzi mazito