Nimeokota moderm ya zantel jamani

Nimeokota moderm ya zantel jamani

p_prezdaa

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2011
Posts
435
Reaction score
60
Jamani nimeokota moderm ya zantel lakini ni zile ambazo hazitumii line na sina cdma number ya modern hii vp naweza vp hili niweze kutumia ata kwa kutumia line yangu ya zantel kui recharge
 
Jamani nimeokota moderm ya zantel lakini ni zile ambazo hazitumii line na sina cdma number ya modern hii vp naweza vp hili niweze kutumia ata kwa kutumia line yangu ya zantel kui recharge

we umeshasema haitumii line halafu unataka kuweka line yako huoni unataka kufanya kitu cha hatari ????

chakufanya install mordem yako halafu nunu vocha ya zantel ya buku recharge weka vocha jipijie simu utajua namba yake
na pia utaijua kama hiyo mordem ni nzima ? na kama ni mzima basi mwenye mordem alii angusha bahati mbaya na kama
ni mbovu basi ujue mwenzako aliona ni takataka kuweka ndani akatupa nje na wewe umeona uokote takataka nje unaleta ndani itakuwa kama wale waganga wa kienyeji kila akionacho anaokota anaona kitamfaa kwenye kazi zake
 
Jamani nimeokota moderm ya zantel lakini ni zile ambazo hazitumii line na sina cdma number ya modern hii vp naweza vp hili niweze kutumia ata kwa kutumia line yangu ya zantel kui recharge

we umeshasema haitumii line halafu unataka kuweka line yako huoni unataka kufanya kitu cha hatari ????

chakufanya install mordem yako halafu nunu vocha ya zantel ya buku recharge weka vocha jipijie simu utajua namba yake
na pia utaijua kama hiyo mordem ni nzima ? na kama ni mzima basi mwenye mordem alii angusha bahati mbaya na kama
ni mbovu basi ujue mwenzako aliona ni takataka kuweka ndani akatupa nje na wewe umeona uokote takataka nje unaleta ndani itakuwa kama wale waganga wa kienyeji kila akionacho anaokota anaona kitamfaa kwenye kazi zake

usikonde mwana jaribu inaweza kuwa bomba hayo ni maneno tu hata kwenye kanga yapo
 
Siku hizi kuna vibomu vidogo shauri lako wewe ukafikiri moderm ukaripukiwa nyumbani hata kama inajina ogopa.Au vaa nguo za mabomu wakati ukitaka kuitumia
 
Siku hizi kuna vibomu vidogo shauri lako wewe ukafikiri moderm ukaripukiwa nyumbani hata kama inajina ogopa.Au vaa nguo za mabomu wakati ukitaka kuitumia

Mkuu, nguo za mabomu zikoje?
 
we umeshasema haitumii line halafu unataka kuweka line yako huoni unataka kufanya kitu cha hatari ????

chakufanya install mordem yako halafu nunu vocha ya zantel ya buku recharge weka vocha jipijie simu utajua namba yake
na pia utaijua kama hiyo mordem ni nzima ? na kama ni mzima basi mwenye mordem alii angusha bahati mbaya na kama
ni mbovu basi ujue mwenzako aliona ni takataka kuweka ndani akatupa nje na wewe umeona uokote takataka nje unaleta ndani itakuwa kama wale waganga wa kienyeji kila akionacho anaokota anaona kitamfaa kwenye kazi zake

usikonde mwana jaribu inaweza kuwa bomba hayo ni maneno tu hata kwenye kanga yapo
Hapo kwenye red sasa atarecharge vipi wakati mfumo wa kuingiza vocha katika hizi modem ni tofauti na hii tuliyozoea?
Nijuavyo ni kwamba unarecharge kupitia site yao au kwa simu na hapo utatakiwa kuingiza CDMA number za hiyo modem...... na hicho ndicho kilichomkwamisha mtoa mada maana kama haina salio haibipiki xana xana labda aitumie kwa yale madude.
 
Tupilia mbali hiyo, Zantel wachovu hao, wamefuta bundle ya 5000 3day unlimited wamenikera kweli
 
Back
Top Bottom