Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 752
- 1,105
Yaani watu wengine wamezaliwa na mikosi kwa 29yrs unaoa single maza eti ananipenda sanaa hiyo ni laana chunguza ukoo wenu nani ana kuloga
hadi saiv ananitambua kuwa mi ndo baba ake,naongea nae na ashatambulishwa kuwa mi ndo baba ake,ila aliambiwa akae na bibi ake tuChukua hyo mtoto kaa nae tengeneza mazingira mazuri na nduguo wajao usifanye mtoto akikua aone wewe ndo sababu ya yeye kutolelewa na mama ake pia mtoto hyo ni mdogo 2yrs anawez kukuacknowledge wewe kama baba ake haya ni maisha unaeza mtenga na akawa tegemeo lako hapo baadae kwa nduguzo
Uko positive sana,utuletee mrejesho ndugu zako.hizo safar ntaambatana nae atake asitake
maisha anayoishi ni mazuri kuliko hata tunayoishi sisi,,Hata kama mtoto sio wako angalia maisha anayoishi huko.Je ni yakumtelekeza? Ukipenda UA penda na boga lake..Kuna siku huyo mtoto atamwitaji mama au walezi wa mtoto hawapo . Je utakuwa tayari kuishi nae? Au ndio mtamwangamiza kama tunavoona visa kadhaa...NI NGUMU KUTENGANISHA BIND YA MAMA NA MTOTO ...angalia Hilo pia utafakari...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Single mama utawajua tu, wanajulikana mnoSiwezi na sitakuja weza kuishi na mtu akithubutu au kutamka au nikhisi anabagua mtoto wangu
Mtoto wangu kwanza
We hako katoto kanakupunguzia nin na watazaliwa ndugu zake hapo,ukishaamua kitu amua
Ukipenda boga penda na ua lake
shukurani mkuuBinafsi nakupa hongera, japo usiweke matumaini juu ya penzi , haijalishi umeowa mwanamke aliezaa au asiezaa lkn mwanamke muamini kwa 40
Sent from my TECNO BD1 using JamiiForums mobile app
hasa huyu wangu ana akili kupita mabilion ya wanawakeWatu mnamaneno ya shombo humu, eti kwamba ana mikosi kisa tu kaoa single maza. Mie hata leo ikitokea la kutokea labda nimefikia muda natakiwa kuoa upya nitaoa single mother. Hawa watu wana akili sana kwenye maisha.
Hee imefanyajeSawa Asante kwa taarifa’
Ushauri kuwa makin Na mienendo yake tu
Ungefanya vyema sana endapo ungemchukua mtoto wake na kumpenda kwa dhati. Hapo umempenda dada nusu na nusu yake ipo kwa mama yake.ile nusu kwa mama yake inaweza kupendwa na baba mzazi mwishowe inaleta connection kwa mkeo. Ni bora ufanye maamuzi kumpenda na mwanae hutojutia.Habarini wakuu,
Wiki hii nimeoa single mom, mtoto wake ana miaka 2 tangu azae jamaa alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa hakutoa hata mia kwenye malezi ya mtoto, alisaidiwa kulea mtoto na mama yake, mtoto kamuacha kwao na mimi sitaki kuishi na huyo mtoto wake na yeye ashalikubali hilo maana tangu uchumba wetu wa mwaka mmoja, nishamwambiaga sitokaa na mtoto wako.
Ananipenda sana tena ile sana sijawahi kupendwa kama hivi kwa huu umri wangu wa 29 years nimewaacha wengi sana nimeamua yeye kumuoa nimeona hatasumbua kwa chochote maana ni mpole na msikivu sana.
Nimekuja tu humu kuwapa hiyo taarifa na kuja kuona mnaniusia wosia gani, kwa hiyo karibuni kwa maoni ya jinsi ya kuishi nae, na vitu gani nijitahadhari navyo, ushauri wowote pia unaruhusiwa na chochote ulichonacho cha kuniambia hata kiwe kibaya sawa tu karibu sana.
Ni huzuni sana kuusoma huu mwandiko.mkuu kama umeoa mwanamke ambae sio singo mama shukuru.kama bado basi muombe Mungu sanaYaani watu wengine wamezaliwa na mikosi kwa 29yrs unaoa single maza eti ananipenda sanaa hiyo ni laana chunguza ukoo wenu nani ana kuloga
Punguza ukali banaSiwezi na sitakuja weza kuishi na mtu akithubutu au kutamka au nikhisi anabagua mtoto wangu
Mtoto wangu kwanza
We hako katoto kanakupunguzia nin na watazaliwa ndugu zake hapo,ukishaamua kitu amua
Ukipenda boga penda na ua lake
😍😍😍Na mnaosemaga hivi ndio mnakujaga kuwaoa na kuwapenda sana
Usitukane mamba kabla hujavuka mto
Niache🤦🏻Punguza ukali bana