Nimeoa leo tarehe

Nimeoa leo tarehe

Mungu hayupo huku, muombeni zaidi mkiwa peke yenu Ama kwenye nyumba za ibada
 
Mie kijana wa kiume mwenye miaka kadhaa. Nimemuoa mchumba wangu wa mda mrefu wa kike.

Naomba Mungu utubariki katika ndoa yetu.

Amen.
Hongera sana mkuu ,Mwenyezi Mungu awabariki sana ,na muwe nandoa yenye aman upendo na furaha kwapamoja viwape mafanikio makubwa sana.

Ndoa nitamu sana ndoa nitamu mno ,, wanaolalamikia ndoa kua nichungu wakati mwingine eti wanaifananisha *** ndoa na Choo cha jamii atiiii alioko ndan anataman atoke, alioko nje anataman aingie***
Huu ni msemo Wa walioshindwa ,kwanza walishindwa wangali ktk uchumba nabado wameshindwa walipooana , mwisho wakaishia kua nawatu ambao hawakupaswa kua nao..

So nikutie nguvu ,,,Mimi Muhenga nakuambia , Ndoa nitamu ,maisha yake nimatamu sana,, alafu kwanza Nitukio ambalo Mungu mwenyewe Aliona heli lafaaa ,naye akaamuru mwanamme kua na mwanamke wake mwenyewe ili:-
Kupunguza magonjwa Mf.UKIMWI.
Kua na msaidizi na sababu nyingiiiiiiii


KIKUBWA MPENDE MKE WAKO NAYE ATAKUHESHIMU .
 
Ndoa ni agano la kudumu kati ya watu wawili yaani mwanamke na mwanamme ambao kwa ridhaa yao wanakubali kuishi pamoja kama mme na mke maisha yao yote..(Mathayo 19:5-6)

Ndoa ni muungano kati ya mwanamke na mwanamume kuishi pamoja kama mume na mke muda wote wa maisha yao. (Sheria ya ndoa – mwaka 1971 kifungu cha 9).

Nawatakia kheri na fanaka katika maisha yenu mapya
 
Sasa mkuu si uko honey moon. Unapataje muda wa kuanzisha huzi badala ule raha.

Anyways, hongera. Ishi nae kwa akili
 
Hongera nitaamia sana ukija na uzi mwingine unalalamika ndoa ngumu mara mke wangu hivi mara vile
 
Hongereni mkuu...wengine tunasikilizia kuingia kwenye hiyo taasisi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom