Daktari wa minyoo
Senior Member
- May 15, 2019
- 117
- 114
Kwanza kabisa naomba mnipe pole wanajamvi kabla hata ya kutoa maelezo yoyote yale.
Leo mida ya saa 6 mchana hv nlikua nakatiza mitaa flani hapa znz nikiwa natafuna zangu vikaranga tu vichache nilivyotoka navyo home, Eeeh bwana eeeh si nkashangaa ghafla tu nimezungukwa na njemba ka 5 hv.
Zikaanza kunihoji kwann nimekua mkaidi kiasi hicho cha kuwaharibia watu swaumu zao, yani nikawa najaribu kujielezea huku nimekwidwa kama kibaka.
Nikawaomba wazee waniachie kidogo nijieleze duh, mshikaji ameniachia shati tu nmechomoka kama mshale. Yaani siamini kama nimenusurika kula kichapo kutoka kwa masheikh asee.
Kwakweli sitarudia hata kumeza mate mbele ya watu ktk kipindi hiki cha mfungo hapa Zanzibar.
Leo mida ya saa 6 mchana hv nlikua nakatiza mitaa flani hapa znz nikiwa natafuna zangu vikaranga tu vichache nilivyotoka navyo home, Eeeh bwana eeeh si nkashangaa ghafla tu nimezungukwa na njemba ka 5 hv.
Zikaanza kunihoji kwann nimekua mkaidi kiasi hicho cha kuwaharibia watu swaumu zao, yani nikawa najaribu kujielezea huku nimekwidwa kama kibaka.
Nikawaomba wazee waniachie kidogo nijieleze duh, mshikaji ameniachia shati tu nmechomoka kama mshale. Yaani siamini kama nimenusurika kula kichapo kutoka kwa masheikh asee.
Kwakweli sitarudia hata kumeza mate mbele ya watu ktk kipindi hiki cha mfungo hapa Zanzibar.