Nimenunua taser ndogo

Nimenunua taser ndogo

1.Umekinunua wapi?
2.Umenunua bei gani?
3.Vipi inakibegi chake cha kuhifadhia na kuweza kukining'iniza kiunoni au waliokuuzia wamekupa maelekezo yapi?
4.Kina charge voltage kiasi gani na unakichaji masaa mangapi,pia kinakaa na charge mda gani?

#saidia kujibu haya maswali🤝

Kwa swali lako wewe miliki tu, unaruhusiwa au huruhusiwi itafahamika mbele ya safari, vitu vipya kama hivyo huwa sheria inafata baada ya kuwazimisha wakuda kadhaa😂😂😂
Mbona hii kitu nilikua nayo kitambo sana nikaitelekeza. Na by the way zipo sana mtaani kwa wamachinga.... wengi hawana elimu nayo.
 
Je, nisahihi kutumia Taser kama njia ya kujilinda?

Je, kuna madhara yoyote yanayoweza kusababishwa na matumizi ya Taser?


Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom