Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 20,541
- 44,295
Unamshenyentea mtu mahali popote mwilini au kuna specific parts, usije ua mtu aisee
Umenunua na hujui unatumiaje??Hii sijajua ila najua itakuwa kwenye mikono huko. shingon sijui kichwan unaweza ukasabibisha mengine
Naitaka namimi hiyo, Kumbe sio gharama sana, Si unajua sisi bodaboda dar hapa, Mambo mengi.Alikuwa anataka 50 tumevutana mpaka 25
Tindikali huo ni ugaidi sio self defence tusifike hukoView attachment 3192076
Hata hii nazan inaweza faa kuwa silaha hatari sana,badala ya kuweka maji humo unaweka tindikali