Umri wangu ni miaka 44, sijaolewa na sina mtoto. Ninafanya kazi katika Taasisi ya Serikali, mwanzoni mwa mwaka huu nilipelekwa semina kwa wiki moja.
Tukiwa kule kiti changu kilikuwa karibu na kiti cha kijana mmoja, mrefu, nadhifu, mcheshi. Tulifikia hoteli moja, baada ya siku tatu tulibadilishana number za simu maana tuliweza kuelekezana migahawa mizuri kwa chakula.
Semina iliisha Ijumaa na tuliagwa kwa tafrija baada ya hapo kila mtu aliekea alikotoka.
Mimi na kijana tuliendelea kuwasiliana kwenye whatsApp, imefikia katika hali kuwa, nikiamka asubuhi lazima tusalimiane, tunabadishana picha za lunch, usiku ndio kabisa tunachat masaa mawili-matatu. Ilitokea nikamuuliza hivi unahisi mimi nina miaka mingapi?
Akajibu 28, nilicheka, nikaamua kukaa kimya. Moyo wangu umempenda sana, sasa lakini niliamua kumueleza ukweli. Alishtuka na kukaa kimya, nikajua basi ameshaondoka.
Kesho yake alinipigia simu akaniuliza kama nilishawahi kuolewa, je nina mtoto. Akajibu umri kwake sio tatizo. Yeye ana miaka 31, anakazi nzuri sana.
Weekend iliyopita alikuja kunitembelea, alifika Jumamosi asubuhi, kwa sababu bado tunafahamiana alichukua hoteli mjini, alikuja kwangu jioni, tulikaa tukaongea mpaka saa nane usiku, akaondoka kurudi hotelini kwake, kesho yake alirudi kwake.
Dada yangu mkubwa ambae mtoto wake wa kwanza ana miaka 29 ameniambia nimuache kijana kwani ni sawa na mwanangu! Kijana mwenyewe amekiri kuwa kwao wazazi wataleta zengwe, amenishauri tuzae kwanza kabla hajanipeleka kwao.
Ushauri jamani
Daaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhh,
Sijui nisemeje,.....nimekumiss sana Conie (@Kongosho).
Karibu sana kwa bibi!
mi nlowazidi 3 yrs wakinitongoza natimua wewe kumi na kitu unajishauri???
Umri wangu ni miaka 44, sijaolewa na sina mtoto. Ninafanya kazi katika Taasisi ya Serikali, mwanzoni mwa mwaka huu nilipelekwa semina kwa wiki moja.
Tukiwa kule kiti changu kilikuwa karibu na kiti cha kijana mmoja, mrefu, nadhifu, mcheshi. Tulifikia hoteli moja, baada ya siku tatu tulibadilishana number za simu maana tuliweza kuelekezana migahawa mizuri kwa chakula.
Semina iliisha Ijumaa na tuliagwa kwa tafrija baada ya hapo kila mtu aliekea alikotoka.
Mimi na kijana tuliendelea kuwasiliana kwenye whatsApp, imefikia katika hali kuwa, nikiamka asubuhi lazima tusalimiane, tunabadishana picha za lunch, usiku ndio kabisa tunachat masaa mawili-matatu. Ilitokea nikamuuliza hivi unahisi mimi nina miaka mingapi?
Akajibu 28, nilicheka, nikaamua kukaa kimya. Moyo wangu umempenda sana, sasa lakini niliamua kumueleza ukweli. Alishtuka na kukaa kimya, nikajua basi ameshaondoka.
Kesho yake alinipigia simu akaniuliza kama nilishawahi kuolewa, je nina mtoto. Akajibu umri kwake sio tatizo. Yeye ana miaka 31, anakazi nzuri sana.
Weekend iliyopita alikuja kunitembelea, alifika Jumamosi asubuhi, kwa sababu bado tunafahamiana alichukua hoteli mjini, alikuja kwangu jioni, tulikaa tukaongea mpaka saa nane usiku, akaondoka kurudi hotelini kwake, kesho yake alirudi kwake.
Dada yangu mkubwa ambae mtoto wake wa kwanza ana miaka 29 ameniambia nimuache kijana kwani ni sawa na mwanangu! Kijana mwenyewe amekiri kuwa kwao wazazi wataleta zengwe, amenishauri tuzae kwanza kabla hajanipeleka kwao.
Ushauri jamani
u
huyo kaka anasema kwao wataleta zengwe,kwahiyo ataenda kuwatangazia ndugu zake kuwa umemzidi?..
If so,hayupo tayari kukudefend huko kwao!?
Dada yangu muombe mungu,ukipata amani moyoni jua ndie ,na km ndie hakutakuwa na chochote kitakachozuia,means kila mmoja wenu atakua tayari kudefen penzi lenu!!
Nb:naona anataka kujua km unaweza kuzaa.
Mtazamo wangu tu!!!
Na yeye anapenda kupotezewa muda.
hili swali linashangaza sana. Hivi unataka awadanganye wazazi na ndugu zake kuhusu umri? Wewe ni wa ajabu kabisa.
Kuhusu kujua kuzaa, mwanamme yeyote wa kiafrika aliye kamili asiyechanganya ndoa na siasa interest yake ya kuoa ni watoto, hivyo kama ana uhakika mwanamke hatazaa hawezi kuoa hapo.
Mbona kuna viongozi/waasisi wa dini ambao walioa wake ambao wanawazidi miaka "lukuki".Pole. Kidini hiyo offer siyo,Kidunia ni offer ya kukimbilia. Kazi kwako.
Hivi miaka 44 wanazaa bila shida?
nafikiri ana wasiwasi akikuoa atapata watoto?
ndo maana anataka mzae kwanza
na wewe ukuendelea kusubiri utazaa na mika 50?
nafikiri huna choice...zaa nae hata asipokuoa angalau utakua na mtoto
tena zaa nae watoto wawili kwa haraka haraka halafu muache mwenyewe aamue kukuoa au kutokuoa.....
Na watoto wenyewe wanapenda wakubwa waliowazidi.
https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/855141-ana-kibamia-lakini-kilinitoa-machozi.html
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/848606-ameni-dump-kwa-mara-ya-pili.html
https://www.jamiiforums.com/mahusia...-mume-wangu-kumbe-ugenini-unayaweza-hivi.html
https://www.jamiiforums.com/mahusia...uliza-mimi-na-mtoto-wake-tulikutana-wapi.html
hizo ni baadhi ya thread zako humu
bahati nzuti wengine humu huwa hatuchangii sana ila kumbu kumbu ya nani na lini alisema nini huwa tunayo...kwa kifupi acha kuharibu maisha ya kijana na pia acha kuchezea akili za wana mmu.....
Na yeye anapenda kupotezewa muda.
Movie sio kwa sana. Jamaa ni gentleman sana na anaexposure amezunguka karibu dunia nzima.
You nailed it!!! Yeye ni mrefu, ni mtu wa mazoezi lakini akiacha anakuwa na nyama uzembe. Mimi ni 5.6ft tall. Ninatembea one hour morning and another hour evening. Kwakweli magauni yananipendeza sijisifu. Kingine ninampa heshima sana kama mwanaume, ninamsikiliza. e.g. Last week nilikuwa kwenyemkutano Ijumaa wadada niliokuwa nao walitaka tuunganishe weekend huku kwasababu ni kando ya bahari na upepo ni mzuri. Aliniambia nirudi kwangu kama mkutano umekwisha, nilipanda ndege Ijumaa na sasa niko kwangu.
Mbona kuna viongozi/waasisi wa dini ambao walioa wake ambao wanawazidi miaka "lukuki".