Nimemzidi umri kwa miaka 12



if u think anakupenda olewa na zaa, kila kitu kina uzuri na ubaya wake, wapo wakaka wengine hupenda women walio wazid umri coz wana busara sana they cant match na women of the same age.
 

Pole. Kidini hiyo offer siyo,Kidunia ni offer ya kukimbilia. Kazi kwako.
 

hili swali linashangaza sana. Hivi unataka awadanganye wazazi na ndugu zake kuhusu umri? Wewe ni wa ajabu kabisa.
Kuhusu kujua kuzaa, mwanamme yeyote wa kiafrika aliye kamili asiyechanganya ndoa na siasa interest yake ya kuoa ni watoto, hivyo kama ana uhakika mwanamke hatazaa hawezi kuoa hapo.
 
Na yeye anapenda kupotezewa muda.

kama ankupenda kweli akuowe. mtoto mtapata maana ni mpango wa Mungu na pia MAPENZI ni suala la watu wawili na ni makubaliano yao si ya jamii dada yako hana maamuzi juu ya mahusiano yako zaidi ya kukushauri kama sisi maamuzi unayo wewe kama muhusika mkuu.
 

Hebu soma vzr comment Yangu!hakuna mahali nimesema awadanganye wazazi wake!!

Soma tena!
 

Reproductive age 15 - 49 years..

Missing you mingimingi
 
Inashangaza,watu wana muda wa kupoteza kiasi hiki.
 
Na yeye anapenda kupotezewa muda.

My dear follow your heart.. Deep down your heart you know what is right for you... Hakuna ajuae nafsi ya mtu inawaza nn... What if ndio ubavu wako? What if not? Moyo wa mtu ni kiza kinene sana
 

Woow!!! Mimi penda sana hii.... Na mwanaume anapenda mwanamke msikivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…