flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,342
Wakuu usiku waleo kiukweli nimeota ndoto nzuriiii sanaaaa tena sana naweza sema nindoto nzuri kwangu kwahuu mwaka toka uanze. Unajua ile unaota ndoto nzuri alafu unashtuka kumbe ulikuwa unaota, unaanza kujilaumu kwanini umeshtuka.
Ipo hivi mama yangu kafariki zaman sana, ila nimemuota amerudi tena kapendeza, mwenye furaha tele. Akawa kawaona watoto wangu akafurahi sana ila sio kama alikuja moja kwamoja ila alikuwa anajiandaa kwasafari yaani aondoke tena. Nikawa namtafuta mpenz wangu/mzazi mwenzangu aje amuone mama yangu alivyo mzuriiiii...
Nikawa nahesabu pesa ili nikaweke bank ila sikumbuki hizo pesa nizanani, sikumbuki kama alinipa yeye au lah! Pesa zilikuwa sio Chini yamilioni mbili, alafu mda huo bank hata sio mbali yaani bank ipo nyuma yanyumba tu wakati kiuhalisia hakuna bank maeneo yanyumbani. Nikawa namwambia kuwa umeona maendeleo bank tumesogezewa karibu ukiondoka tena ukirudi utakuta nasoko limejengwa hapo kwajirani akachekaaa.
Mda huo nababu yangu nae alikuwepo nababu mkubwa nae alikuwepo nahawa wote walishafariki. Namda huo babu alikuwa anazaja makaratasi nakuweka sahiii nadole gumba hayo nimakaratasi kama vile ya mashamba nakiwanja nawalikuwa wanaweka sahihi ili wanapoondoka wasiache utata maana walikuwa nikama wapo kwaajili yakuondoka.
Namda huohuo walikuwepo mjomba wangu namama yangu mkubwa hawa wote wazima ila ninamasiku hatujaonana.
Kiukweli hii ndoto ilikuwa ninzuriii sana hasa hasa kukutana namama yangu aiseee nilikuwa nimemmisi sana alafu kwajinsi alivyokuwa kanawiri nafuraha niliyokuwa nayo ndio iliongeza chachu.
Mwenye kujua maana yahii ndoto aiseee samahani aniambie jamani duh kuna ndoto jamani nzuriiii
Ipo hivi mama yangu kafariki zaman sana, ila nimemuota amerudi tena kapendeza, mwenye furaha tele. Akawa kawaona watoto wangu akafurahi sana ila sio kama alikuja moja kwamoja ila alikuwa anajiandaa kwasafari yaani aondoke tena. Nikawa namtafuta mpenz wangu/mzazi mwenzangu aje amuone mama yangu alivyo mzuriiiii...
Nikawa nahesabu pesa ili nikaweke bank ila sikumbuki hizo pesa nizanani, sikumbuki kama alinipa yeye au lah! Pesa zilikuwa sio Chini yamilioni mbili, alafu mda huo bank hata sio mbali yaani bank ipo nyuma yanyumba tu wakati kiuhalisia hakuna bank maeneo yanyumbani. Nikawa namwambia kuwa umeona maendeleo bank tumesogezewa karibu ukiondoka tena ukirudi utakuta nasoko limejengwa hapo kwajirani akachekaaa.
Mda huo nababu yangu nae alikuwepo nababu mkubwa nae alikuwepo nahawa wote walishafariki. Namda huo babu alikuwa anazaja makaratasi nakuweka sahiii nadole gumba hayo nimakaratasi kama vile ya mashamba nakiwanja nawalikuwa wanaweka sahihi ili wanapoondoka wasiache utata maana walikuwa nikama wapo kwaajili yakuondoka.
Namda huohuo walikuwepo mjomba wangu namama yangu mkubwa hawa wote wazima ila ninamasiku hatujaonana.
Kiukweli hii ndoto ilikuwa ninzuriii sana hasa hasa kukutana namama yangu aiseee nilikuwa nimemmisi sana alafu kwajinsi alivyokuwa kanawiri nafuraha niliyokuwa nayo ndio iliongeza chachu.
Mwenye kujua maana yahii ndoto aiseee samahani aniambie jamani duh kuna ndoto jamani nzuriiii