Nimemuelewa mama Makinda, hawa akina Halima Mdee ndio " self made Opposition" kwa sasa tuwape muda!

Na wanaweza kufanya vizuri bungeni na watanzania wengi wakashangaa kwa sababu watakuwa wanatenda kwa kumaanisha na siyo kutafuta kiki.

Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman Mbowe.

Kiufupi Halima Mdee na wenzake watakuwepo bungeni hadi 2025.

Maendeleo hayana vyama!

Wabongo uchaguzi fake!, wabunge fake na wanachagua wabunge wa upinzani fake! Magojwa fake...... Tanzania tumekuwa fake
 
Na wanaweza kufanya vizuri bungeni na watanzania wengi wakashangaa kwa sababu watakuwa wanatenda kwa kumaanisha na siyo kutafuta kiki.

Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman Mbowe.

Kiufupi Halima Mdee na wenzake watakuwepo bungeni hadi 2025.

Maendeleo hayana vyama!
Tusiandikie mate na wino upo tusubiri hii minne tuone
 
Na wanaweza kufanya vizuri bungeni na watanzania wengi wakashangaa kwa sababu watakuwa wanatenda kwa kumaanisha na siyo kutafuta kiki.

Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman Mbowe.

Kiufupi Halima Mdee na wenzake watakuwepo bungeni hadi 2025.

Maendeleo hayana vyama!
Unakuwaje self made kama hujawa mgombea binafsi
 
Na wanaweza kufanya vizuri bungeni na watanzania wengi wakashangaa kwa sababu watakuwa wanatenda kwa kumaanisha na siyo kutafuta kiki.

Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman Mbowe.

Kiufupi Halima Mdee na wenzake watakuwepo bungeni hadi 2025.

Maendeleo hayana vyama!
Kama Nyerere na CCM walikuwa wanataka selfa made oppotion basi wangeliruhusu Private or Independent candidates ....!! Akina Cov19 ni wasaliti tu .....!!
 
Na wanaweza kufanya vizuri bungeni na watanzania wengi wakashangaa kwa sababu watakuwa wanatenda kwa kumaanisha na siyo kutafuta kiki.

Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman Mbowe.

Kiufupi Halima Mdee na wenzake watakuwepo bungeni hadi 2025.

Maendeleo hayana vyama!
Kuna uhitaji na matamanio, endeleeni kutamani.

Mbona inaeleweka kuwa wamepatikana kupitia kwa spika na Tume? Ila pia inawezekana kwa maagizo toka juu. Kwani Makinda anatueleza haya kwa katiba ya nchi gani?
 
Back
Top Bottom