johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,150
- Thread starter
- #21
Wewe unakutia nani kisha anakunusisha?Aisee Naona mnajitia vidole wenyewe kisha mnanusa
Wewe unakutia nani kisha anakunusisha?Aisee Naona mnajitia vidole wenyewe kisha mnanusa
Ndio hilo hilo bwashee!Awamu hii Kuna bunge??!!! Ninachokiona ni halmashuri kuu ya CCM
Acha upuuzi Tale kachaguliwa na Nani labda jiweBabu Tale hamna kitu pale!
Watu wa Morogoro hujichaguliaga mtu yoyote tu na huyo Taletale alipitia dirishani.
Nimekuambia amepitia dirishani!
Ushapanic tayariWewe unakutia nani kisha anakunusisha?
Hahahaaaa...... mambo madogo tu haya bwashee!Ushapanic tayari
Na wanaweza kufanya vizuri bungeni na watanzania wengi wakashangaa kwa sababu watakuwa wanatenda kwa kumaanisha na siyo kutafuta kiki.
Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman Mbowe.
Kiufupi Halima Mdee na wenzake watakuwepo bungeni hadi 2025.
Maendeleo hayana vyama!
Tusiandikie mate na wino upo tusubiri hii minne tuoneNa wanaweza kufanya vizuri bungeni na watanzania wengi wakashangaa kwa sababu watakuwa wanatenda kwa kumaanisha na siyo kutafuta kiki.
Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman Mbowe.
Kiufupi Halima Mdee na wenzake watakuwepo bungeni hadi 2025.
Maendeleo hayana vyama!
Unakuwaje self made kama hujawa mgombea binafsiNa wanaweza kufanya vizuri bungeni na watanzania wengi wakashangaa kwa sababu watakuwa wanatenda kwa kumaanisha na siyo kutafuta kiki.
Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman Mbowe.
Kiufupi Halima Mdee na wenzake watakuwepo bungeni hadi 2025.
Maendeleo hayana vyama!
Kama Nyerere na CCM walikuwa wanataka selfa made oppotion basi wangeliruhusu Private or Independent candidates ....!! Akina Cov19 ni wasaliti tu .....!!Na wanaweza kufanya vizuri bungeni na watanzania wengi wakashangaa kwa sababu watakuwa wanatenda kwa kumaanisha na siyo kutafuta kiki.
Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman Mbowe.
Kiufupi Halima Mdee na wenzake watakuwepo bungeni hadi 2025.
Maendeleo hayana vyama!
Balaza la chama cha mapinduziAwamu hii Kuna bunge??!!! Ninachokiona ni halmashuri kuu ya CCM
Kuna uhitaji na matamanio, endeleeni kutamani.Na wanaweza kufanya vizuri bungeni na watanzania wengi wakashangaa kwa sababu watakuwa wanatenda kwa kumaanisha na siyo kutafuta kiki.
Mama Makinda amesema wao waliunda self made opposition iliyotakiwa sana na Nyerere ili kuikosoa serikali na kwamba walikuwa wakali kuliko hawa akina Freeman Mbowe.
Kiufupi Halima Mdee na wenzake watakuwepo bungeni hadi 2025.
Maendeleo hayana vyama!
Ndo aina ya wa ccm wa sasaBabu Tale hamna kitu pale!
Watu wa Morogoro hujichaguliaga mtu yoyote tu na huyo Taletale alipitia dirishani.