Nimemuacha sababu ya 'kufulia'

Nimemuacha sababu ya 'kufulia'

Najaf

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2015
Posts
1,545
Reaction score
2,542
Kwa hakika nilimpenda kwa kila tone la damu yangu kwa tunu ya roho yangu, sina kazi wala mishe ya uhakikia bali nikuunga unga tu. Ninajisikia uchungu kila ninapokumbuka aliposema" hunijui chupi wala pedi, huwezi kuwa mwanaume tena."nilimjibu" kwa kuamka nikiwa na afya njema na hali ninaweza kufanya majukumu ya kibaiolojia kama mwanaume inatosha, pesa na vingine vitakuja nyakati zitakapofika.

Ndipo ilipofika kipindi nikaona mapenzi bila pesa kweli huwezi yapata na kwa kuamini huku sitaki kuamini mahusiano kwa kipindi hiki kigumu ambacho sins pesa. Moyo ni jicho linaloona wasichana ambao watautesa roho yangu kwa kipindi hiki nisicholambika mikono, maana ni mitupu mnoo.

Nimeshajiapiza kumpenda ambaye hatakuwa na mlengo wa maslahi ya pesa. Poleni wanaume wenzangu mnao nyanyasika kwa kutokuwa na pesa katika mahusiano yenu. Mungu awatie subira wanaowapenda wenza wao katika vipindi vyote vya mababadiliko kimaisha.

"Mungu nibariki nipate atakayenifaa kwa dhiki zaidi"
 
Umemuacha au umeachwa kwa ukosefu wa pesa? Maana si nia yako kumuacha Bali umekubali matokeo ya kuachwa kwa ukata.Pole ndio Dunia ilivyo

Kama hunapesa utaendelea kuwa mtumwa wa kuishia kutazama tu wanawake wazuri.

Tupo kwenye ulimwengu wa Nipe nikupe( The world of social exchange).
 
Daah.. So sad.. Pesa haina mwenye hati miliki nayo.. Ipo siku na wewe utainyaka.... Vuta subra uingoje zamu yako...
 
Tafuta pesa usije umizwa tena huyo dada yuko sawa tu sasa angeishi vip? Walau hela ya kula pa kulala napo isiwe tabu
 
Kwa hakika nilimpenda kwa kila tone la damu yangu kwa tunu ya roho yangu, sina kazi wala mishe ya uhakikia bali nikuunga unga tu. Ninajisikia uchungu kila ninapokumbuka aliposema" hunijui chupi wala pedi, huwezi kuwa mwanaume tena."nilimjibu" kwa kuamka nikiwa na afya njema na hali ninaweza kufanya majukumu ya kibaiolojia kama mwanaume inatosha, pesa na vingine vitakuja nyakati zitakapofika.

Ndipo ilipofika kipindi nikaona mapenzi bila pesa kweli huwezi yapata na kwa kuamini huku sitaki kuamini mahusiano kwa kipindi hiki kigumu ambacho sins pesa. Moyo ni jicho linaloona wasichana ambao watautesa roho yangu kwa kipindi hiki nisicholambika mikono, maana ni mitupu mnoo.

Nimeshajiapiza kumpenda ambaye hatakuwa na mlengo wa maslahi ya pesa. Poleni wanaume wenzangu mnao nyanyasika kwa kutokuwa na pesa katika mahusiano yenu. Mungu awatie subira wanaowapenda wenza wao katika vipindi vyote vya mababadiliko kimaisha.

"Mungu nibariki nipate atakayenifaa kwa dhiki zaidi"



WEWE AISEE TAFTA PESA ALAF HATA UWE NA CASH KAMA LOVE IKIISHA IMEISHA TU LOL MIMI NIKO NA CASH ILA KATOTO KALISEPA SO PESA SIO KILA KITU HAWA WADUDU NI NGUM KUWAELEWA NINI HASA WANATAKA

2 days masai mara safari.jpg
 
Pole mkuu! Utampata tu mwenye upendo na uvumilivu! Wanawake wengine wameweka maslahi mbele... We endelea na yako!
 
Pole mkuu! Utampata tu mwenye upendo na uvumilivu! Wanawake wengine wameweka maslahi mbele... We endelea na yako!

MTEGEMEA HARUSI YA JIRANI NDIO AGONGWE.... HEHEHEHE

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Niliombwa pesa miaka ile Hahahahahah Nikaanza kujihami Oooghh unajua namjengea MAMA nyumba so sina kitu...... Nikaambiwa ukimaliza Jengo ndio uje kwangu...... Wanaume sie
 
Afadhali umekuwa na busara ukamuacha maana kama hauna pesa hamna mapenzi!
Mm ilifikia hatua anashushwa na Verosa mbele yangu home wqla haogopi
 
Back
Top Bottom