Nimemuacha lakini bado anakataa kuachwa nami

Nimemuacha lakini bado anakataa kuachwa nami

Abu Haarith

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
314
Reaction score
165
Habari wanajamii wenzangu,

Kama kichwa kinavyojieleza, kuna manzi alikuwa ananifuatilia kuanzia 5 mwaka huu kwa maana alikuwa ananitaka tuwe wapenzi, juzi kati nikawa nimemkubalia lakini sijapendezwa na tabia zake nimehisi atakuwa sio type yangu hivyo jana nikaamua kuachana nae yaani nimemtema.

Akawa amenipiga mikwara kiasi alivyoona sijatishika na mikwara yake ameamua kuniomba sasa kila ninavyombwambia haiwezekani anielewi amenitumia hadi marafiki wake waje kuniaomba.

Sijaelewa anataka nini kwasababu hata kudonyoa cha kati sijawahi nilimkubali lakini tuliishi kama marafiki sikuwahi kufanya nae chochote kama wapenzi.

Msaada plese, nifanyaje ili aelewe kuwa simuhitaji?
 
Habari wanajamii wenzangu kama kichwa kinavyojieleza kuna manzi alikuwa ananifuatilia kuanzia 5 mwaka huu kwa maana alikuwa ananitaka tuwe wapenzi juzi kati nikawa nimemkubalia lakini sijapendezwa na tabia zake nimehisi atakuwa sio type yangu hivyo jana nikaamua kuachana nae yaani nimemtema akawa amenipiga mikwara kiasi alivyoona sijatishika na mikwara yake ameamua kuniomba sasa kila ninavyombwambia haiwezekani anielewi amenitumia hadi marafiki wake waje kuniaomba, sijaelewa anataka nini kwasababu hata kudonyoa cha kati sijawahi nilimkubali lakini tuliishi kama marafiki sikuwahi kufanya nae chochote kama wapenzi msaada plz nifanyaje ili aelewe kuwa simuhitaji?
Braza labda ungeweka wazi kwanza ni tabia gan zimekufanya kuchukua maamuz hayo?
 
Habari wanajamii wenzangu kama kichwa kinavyojieleza kuna manzi alikuwa ananifuatilia kuanzia 5 mwaka huu kwa maana alikuwa ananitaka tuwe wapenzi juzi kati nikawa nimemkubalia lakini sijapendezwa na tabia zake nimehisi atakuwa sio type yangu hivyo jana nikaamua kuachana nae yaani nimemtema akawa amenipiga mikwara kiasi alivyoona sijatishika na mikwara yake ameamua kuniomba sasa kila ninavyombwambia haiwezekani anielewi amenitumia hadi marafiki wake waje kuniaomba, sijaelewa anataka nini kwasababu hata kudonyoa cha kati sijawahi nilimkubali lakini tuliishi kama marafiki sikuwahi kufanya nae chochote kama wapenzi msaada plz nifanyaje ili aelewe kuwa simuhitaji?
Maliza kwanza masomo yako ya O-Level.
 
>>> MRUDISHIE marinda yake uliyo yatatua ukifanya hivyo HATAKUFUATA !>>
 
Kwa nini umkubalie alafu umpotezee bila kumdonyoa cha kati... anamashaka na wewe ndiyo maana anangangania ajue kama wewe kweli ni mzima...
 
Habari wanajamii wenzangu,

Kama kichwa kinavyojieleza, kuna manzi alikuwa ananifuatilia kuanzia 5 mwaka huu kwa maana alikuwa ananitaka tuwe wapenzi, juzi kati nikawa nimemkubalia lakini sijapendezwa na tabia zake nimehisi atakuwa sio type yangu hivyo jana nikaamua kuachana nae yaani nimemtema.

Akawa amenipiga mikwara kiasi alivyoona sijatishika na mikwara yake ameamua kuniomba sasa kila ninavyombwambia haiwezekani anielewi amenitumia hadi marafiki wake waje kuniaomba.

Sijaelewa anataka nini kwasababu hata kudonyoa cha kati sijawahi nilimkubali lakini tuliishi kama marafiki sikuwahi kufanya nae chochote kama wapenzi.

Msaada plese, nifanyaje ili aelewe kuwa simuhitaji?
Mkuu una kesi kama yangu, nipo nahangaika nayo mda huu pole sana

Cha kufanya kausha tu atajikoki mwenyewe mda ukizidi kwenda
 
Back
Top Bottom