EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,563
- 1,886
Habari za asubuhi wakuu, kuna dada nipo naye kwenye group moja la whatsapp la mambo ya dini nimekuwa nikichart nae sana mpaka usiku wa manane nilimuomba awe rafiki yangu akakubali bt lengo langu nilitaka nimsogeze karibu kisha nimtokee kweli tumezoeana sana full kumsifia sifia status zake zote sasa niliamua kumpa ukweli wa lengo la kumuomba urafiki.
Mi nataka awe mpenzi wangu na mbeleni nimchumbie ilikuwa ni usiku wa juzi akanijibu ngoja afikirie nimpe muda nikamwambia poa sasa jana usiku akanitumia sms kwamba yeye ana mchumba wameahidiana ahadi nyingi sana na anaogopa kuwa msaliti wa ahadi hizo mmh nikamwambia sawa haina shda na asante sana bs akaanza kulalamika kwamba anajisikia vibaya mi kuumia kwaajili yake.
Nikamwambia hapana nipo pamoja na wewe naheshimu mawazo yako utaendelea kuwa rafiki yangu kiukweli mi nampenda yaani nimempenda sana hata nikimwambia nirushie picha zako anarusha kama 20, hawez kulala mpaka tuagane je wajuba na mabaharia huyu tampata kweli au nimpotezee kabisa. nipeni mbinu mpya.
Mi nataka awe mpenzi wangu na mbeleni nimchumbie ilikuwa ni usiku wa juzi akanijibu ngoja afikirie nimpe muda nikamwambia poa sasa jana usiku akanitumia sms kwamba yeye ana mchumba wameahidiana ahadi nyingi sana na anaogopa kuwa msaliti wa ahadi hizo mmh nikamwambia sawa haina shda na asante sana bs akaanza kulalamika kwamba anajisikia vibaya mi kuumia kwaajili yake.
Nikamwambia hapana nipo pamoja na wewe naheshimu mawazo yako utaendelea kuwa rafiki yangu kiukweli mi nampenda yaani nimempenda sana hata nikimwambia nirushie picha zako anarusha kama 20, hawez kulala mpaka tuagane je wajuba na mabaharia huyu tampata kweli au nimpotezee kabisa. nipeni mbinu mpya.