Ugm bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,152
- 5,664
hayaaa sasaaaa
humu si tunayasema haya kila siku?, sema nn vjna mmezd vbur, kpnd mnachumbiana ukuona shida ama kutafta ushaur wwte kuhusu ndoa?, alafu umri wako bado mdg kwann unajichimbia shimo mapema ambalo kimsingi hutoweza kulitoka?, kuwa na kazi ama kutoa mahali kubwa, hakukupi guaranteed ya kudumu ktk ndoa kipind kirefu
huwa nashangaa hiv mtu umawezaje kutoa mahal zaid ya milion kwa lijitu mlilokutana ukubwan?, si ajabu hata bikra hana, alitolewa na wahuni kwa hongo ya chipi kavu mixer kachumbari ya kabichi na sayona juisi(Tsh 500)
kihele hele kilikuponza mzee baba, acha nkuchane makavu il ujifunze, hata ssi tulipitia haya, lkn tuliepuka, wew umenasa,
uyo mwanamkea kama hawez kufuata amri zako na matakwa yako ama kukudharau, rudisha kwao na akurudishie pesa yako ya mahali na ukaifanye mtaji, ama katoe sadaka kwa mayatima, kulko kuligharamikia jitu lenye meno32 lisilojua samani ya ndoa.
hivi vile viapo vyenu vya dini mnawezaje kuapa ilihali mnajijua tabia zenu si wavumilivu ktk shida na hamna mioyo ya upendo wa kwel.
kaa utulie na ufanye maamuzi magumu, fanya maamuzi ya kiume, wanaume wengi hasa ninyi mnaotoaga mahali za namna hiyo, huwa waoga, huwa mnaendeshwa na ndugu ama mashemeji.
Be gentleman
humu si tunayasema haya kila siku?, sema nn vjna mmezd vbur, kpnd mnachumbiana ukuona shida ama kutafta ushaur wwte kuhusu ndoa?, alafu umri wako bado mdg kwann unajichimbia shimo mapema ambalo kimsingi hutoweza kulitoka?, kuwa na kazi ama kutoa mahali kubwa, hakukupi guaranteed ya kudumu ktk ndoa kipind kirefu
huwa nashangaa hiv mtu umawezaje kutoa mahal zaid ya milion kwa lijitu mlilokutana ukubwan?, si ajabu hata bikra hana, alitolewa na wahuni kwa hongo ya chipi kavu mixer kachumbari ya kabichi na sayona juisi(Tsh 500)
kihele hele kilikuponza mzee baba, acha nkuchane makavu il ujifunze, hata ssi tulipitia haya, lkn tuliepuka, wew umenasa,
uyo mwanamkea kama hawez kufuata amri zako na matakwa yako ama kukudharau, rudisha kwao na akurudishie pesa yako ya mahali na ukaifanye mtaji, ama katoe sadaka kwa mayatima, kulko kuligharamikia jitu lenye meno32 lisilojua samani ya ndoa.
hivi vile viapo vyenu vya dini mnawezaje kuapa ilihali mnajijua tabia zenu si wavumilivu ktk shida na hamna mioyo ya upendo wa kwel.
kaa utulie na ufanye maamuzi magumu, fanya maamuzi ya kiume, wanaume wengi hasa ninyi mnaotoaga mahali za namna hiyo, huwa waoga, huwa mnaendeshwa na ndugu ama mashemeji.
Be gentleman