colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,926
Kama kichwa cha habari hapo juu.
Few weeks hivi nyuma nilipata kamchepuko na kwa bahati wife hakuwepo basi nikapanga kumeet nae. Siku ikafika nikapiga show mpaka kuchee.
Baada ya siku chache mchepuko unaniambia umenasa mimba yangu. Nikasema isiwe shida kwa vile sio dent ingawa anaishi home kwao na wazazi nikasema ngoja nije kuhakikisha kwanza.
Baada ya kuja nikapima kweli kitu ni positive nikawa relaxed ili asisome my emotions ili nimconvice ki siasa atoe ila daaah aisee.
Demu kakataa kata kata anasema yee hawezi kutoa katu. Ubaya anajua kama nimeoa na anapajua hadi ninapoishi
Sasa hivi ananipa vitisho lukuki maara ooh usiniambie kabisa kuhusu kutoa tusije kufikishana mbali mara nitakuja sku moja kuonana na mrs wako ajue kuna mwenzake yaan daah akili yangu imechoka.
Kweli michepuko kokoto ni balaaa hapa pozi lote limeniishia natamani hata muda urudi nyuma.
Naomba wale waliokutana na situation kama hii hemu nipeni ushauri kidogo mliukwepaje huu mkasa.
Few weeks hivi nyuma nilipata kamchepuko na kwa bahati wife hakuwepo basi nikapanga kumeet nae. Siku ikafika nikapiga show mpaka kuchee.
Baada ya siku chache mchepuko unaniambia umenasa mimba yangu. Nikasema isiwe shida kwa vile sio dent ingawa anaishi home kwao na wazazi nikasema ngoja nije kuhakikisha kwanza.
Baada ya kuja nikapima kweli kitu ni positive nikawa relaxed ili asisome my emotions ili nimconvice ki siasa atoe ila daaah aisee.
Demu kakataa kata kata anasema yee hawezi kutoa katu. Ubaya anajua kama nimeoa na anapajua hadi ninapoishi
Sasa hivi ananipa vitisho lukuki maara ooh usiniambie kabisa kuhusu kutoa tusije kufikishana mbali mara nitakuja sku moja kuonana na mrs wako ajue kuna mwenzake yaan daah akili yangu imechoka.
Kweli michepuko kokoto ni balaaa hapa pozi lote limeniishia natamani hata muda urudi nyuma.
Naomba wale waliokutana na situation kama hii hemu nipeni ushauri kidogo mliukwepaje huu mkasa.