george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,302
- 1,979
- Thread starter
- #61
AsantePole sana kwa kweli. Mambo ya ndoa ni magumu. Vijana twazidi kujifunza
AsantePole sana kwa kweli. Mambo ya ndoa ni magumu. Vijana twazidi kujifunza
Kam ipo ntakupaSI utanipa lakini
Unamaanisha nini ??Endelea kuishi Kwa ndugu huyu mara ndugu yule, ikishindikana kaishi stand kabisa sio mbaya
Kaka haya maneno yana maana gani ?Mchai chai! ☕
"Kinachoniumiza ni kwamba baada ya kufanya hayo yote mke wangu na wanangu wa kufikia wameungana na baba yao mzazi na sasa wanaishi pamoja kama familia ."
Miaka yote 25 ulishindwa kumpa mimba? Kama hivyo ni kweli, ndomaana akakuona hufai akakutapeli. Kwahiyo hukujenga hata chumba na sebule?Nilimuoa mke wangu miaka 25 iliyopita akiwa na watoto wawili wa kiume aliowapata kwenye ndoa yake ya awali.
Niliwapenda sana wale watoto na kuwachukulia kama watoto wangu kabisa na hakuna aliyejua kuwa si wanangu kwani tuliishi pamoja kwa upendo kama familia moja.
Tuliishi kwa amani kwenye nyumba za kupanga wakati huo nikiwa nafanya kazi na nilihakikisha watoto wangu wanapata huduma zote muhimu ikiwamo kuwasomesha shule bora kabisa.
Baba yao mzazi hakuwahi kutoa msaada wa aina yoyote wala kuhudumia watoto wake wala kuonekana.
Watoto walikuwa na akili sana darasani na baada ya masomo wote walipata ajira mmoja ameajiriwa kama daktari na mwingine ni mwanasheria.
Kinachoniumiza ni kwamba baada ya kufanya hayo yote mke wangu na wanangu wa kufikia wameungana na baba yao mzazi na sasa wanaishi pamoja kama familia .
Kwa sasa sina pa kuishi nakaa leo kwa ndugu huyu, kesho ndugu yule. Mbaya zaidi wameniblock na hata nikipiga kwa kutumia simu zingine wakijua ni mimi wanakata simu na kuiblock hiyo namba ngeni niliyotumia.
Ndugu zangu wa mtandaoni naomba ushauri wenu, nifanye nini?
muwe mnatuuliza huku tarime tuwape uzoefu wa ndoaNilimuoa mke wangu miaka 25 iliyopita akiwa na watoto wawili wa kiume aliowapata kwenye ndoa yake ya awali.
Niliwapenda sana wale watoto na kuwachukulia kama watoto wangu kabisa na hakuna aliyejua kuwa si wanangu kwani tuliishi pamoja kwa upendo kama familia moja.
Tuliishi kwa amani kwenye nyumba za kupanga wakati huo nikiwa nafanya kazi na nilihakikisha watoto wangu wanapata huduma zote muhimu ikiwamo kuwasomesha shule bora kabisa.
Baba yao mzazi hakuwahi kutoa msaada wa aina yoyote wala kuhudumia watoto wake wala kuonekana.
Watoto walikuwa na akili sana darasani na baada ya masomo wote walipata ajira mmoja ameajiriwa kama daktari na mwingine ni mwanasheria.
Kinachoniumiza ni kwamba baada ya kufanya hayo yote mke wangu na wanangu wa kufikia wameungana na baba yao mzazi na sasa wanaishi pamoja kama familia .
Kwa sasa sina pa kuishi nakaa leo kwa ndugu huyu, kesho ndugu yule. Mbaya zaidi wameniblock na hata nikipiga kwa kutumia simu zingine wakijua ni mimi wanakata simu na kuiblock hiyo namba ngeni niliyotumia.
Ndugu zangu wa mtandaoni naomba ushauri wenu, nifanye nini?
Ukome kabisa wewe nani alimwambia uoe mwanamke ambaye amesha shindikana kwenye ndoa yake tena ana watoto wawili 😂 Single mother yeyote ni wa kupiga na kusepa ukioa tu imekulamba pole yako cha msingi endelea kuishi kwa ndugu hao ambao lazima walikukanya usifanye ilo jambo ukawadharau 😂Nilimuoa mke wangu miaka 25 iliyopita akiwa na watoto wawili wa kiume aliowapata kwenye ndoa yake ya awali.
Niliwapenda sana wale watoto na kuwachukulia kama watoto wangu kabisa na hakuna aliyejua kuwa si wanangu kwani tuliishi pamoja kwa upendo kama familia moja.
Tuliishi kwa amani kwenye nyumba za kupanga wakati huo nikiwa nafanya kazi na nilihakikisha watoto wangu wanapata huduma zote muhimu ikiwamo kuwasomesha shule bora kabisa.
Baba yao mzazi hakuwahi kutoa msaada wa aina yoyote wala kuhudumia watoto wake wala kuonekana.
Watoto walikuwa na akili sana darasani na baada ya masomo wote walipata ajira mmoja ameajiriwa kama daktari na mwingine ni mwanasheria.
Kinachoniumiza ni kwamba baada ya kufanya hayo yote mke wangu na wanangu wa kufikia wameungana na baba yao mzazi na sasa wanaishi pamoja kama familia .
Kwa sasa sina pa kuishi nakaa leo kwa ndugu huyu, kesho ndugu yule. Mbaya zaidi wameniblock na hata nikipiga kwa kutumia simu zingine wakijua ni mimi wanakata simu na kuiblock hiyo namba ngeni niliyotumia.
Ndugu zangu wa mtandaoni naomba ushauri wenu, nifanye nini?
MhUkome kabisa wewe nani alimwambia uoe mwanamke ambaye amesha shindikana kwenye ndoa yake tena ana watoto wawili Single mother yeyote ni wa kupiga na kusepa ukioa tu imekulamba pole yako cha msingi endelea kuishi kwa ndugu hao ambao lazima walikukanya usifanye ilo jambo ukawadharau
Duuyaani hapo mkuu siyo kwamba huyo baba watoto alikuwa hahudumii watoto wake, alikwa anahudumia tena analipa kila kitu
huyo singo maza akawa anachikichia
Dumuwe mnatuuliza huku tarime tuwape uzoefu wa ndoa
Single maza hatakiwi na ni laana kabisa kuwa ndo mke wa kwanza. huyo ni second wife au tenth wife kabisa
akizingua hata hushtuki. Singo maza aliyezalizaa akiwa hom kwao kabisa. hawana mshipa wa aibu hata chembe
nyie jidaini mna huruma , nawaonya tena .
AsantePole mkuu
MtajeNaona afisa mmoja wa kataa ndoa kaamua kutafuta ID mpya kukazia ajenda yetu pendwa...... Hapa zinatafutwa point 3 za lazima
Iwe kwa kutunga au kwa kisa cha kusoma mtandaon au kwa kusikia kwa jiran,,, kikubwa point n point