Siku za karibuni nimesafiri na Prof. Kabudi kwenda Nairobi. Tuliongea mengi na ninaamini atazingatia ...
Nimeangalia hotuba yake Prof. Kabudi kwa mshangao pale alipokuwa akimshambulia Tundu baada ya kuwa amenishawishi nimkubali Tundu. ...
Awamu hii ina maprofesa wengi. Nachelea watadhalilishwa wasipokuwa waangalifu.
kwani kuna huruma gani na gani?Huruma gani sasa aliyotia?
Shida kubwa iliyopo ni Prof Kabudi kum-outshine Lissu. Hili limewakera na litaendelea kuwakera wengi na kupelekea mashambulizi mengi yenye lengo la Personality assassination kwa Prof Kabudi.
Kuna watu katika jamii hii wanaona ni kosa la jinai kwa mtu kutoka upande wa serikali au chama tawala kuwa mweledi. Siasa hizi hazituletei tija sana!
Hii lugha uliyoandika ni kiyunani au kiajemi ....Hv Mshahala Wa Mhadhiri Unaweza Kua Kiasi Gan Kwamfano Hasa Kwa Wale Wa Muda Mrefu Km Yeye? Labda Tungeanzia Hapo. Lait Km Madaktar Bingwa Na Wasomi Nguli Ktk Vyuo Vyetu Wangekua Wanalipwa Vzr, Cdhan Km Wangekua Wanakubali Apointment Km Hzo Za Kudhalilishana. Me Cjasoma Sheria Lkn Nkajikuta Nacheka Baada Ya Kuckiliza Point Zake. Hv Duniani Nchi Zilizo Na Katiba Ni Ngapi, Na Ziczo Na Katiba Ni Ngapi? Kwa Nn Asingefkria Zenye Katiba Akakmbilia Zczokua Nayo? Kwann Actolee Mfano Nchi Zilizo Afrika? Kaz Kwel Kwel, Kuna Yule Mama Tibaijuka, Yule Ndo Balaa. Nlimuona Pale Nkuruma Kwenye Mdahalo, Ni Shida Hata Kujieleza Tu Majanga, Anachangia Point Zenyewe Pumba Tu. Usipo Soma Shida, Pia Ukisoma Shida.
Hata alipoitwa kama 'friend of the Judiciary' katika kesi ya mgombea binafsi katika Mahakama ya Rufaa ya Tanzania iliyofunguliwa na marehemu Mch. Mtikila (RIP), alionyesha udhaifu mkubwa kwa kuegemea kwenye matakwa ya serikali badala ya uhalisia wa haki za watu katika kuchagua na kuchaguliwa.======
Unakosea sana. Prof. Kabudi ni Profesa wa sheria. Outshinning Tundu is the obvious case.
Hata Tundu hana shida na hilo.
Shida kubwa ni mabadiliko ya ghafla ya Profesa Kabudi. Juzi alikuwa anamkubali Tundu; jana akaonekana anamshambulia. Mwaka jana alikuwa anatetea serikali tatu, jana anatetea serikali mbili na kuzitumikia.
Tundu Kwa sasa anatia huruma sana, huku Tulia, kule Palamagamba patamu, misifa yote kwishiney
hapo umeniquote Kama mtu asiyejiamini... Elimu ni kuelimika na sio kufaulu... Unaposema kufika kwenye ardhi ya chuo kikuu wengi wamefika na kukamyaga... Ungekuwa mwerevu mtu ulie smart Hoja yako ingekaa sawa sawia. Kuwa profesa ni kutunukiwa shahada na hiyo Sshahada huwezi kutembea nayo Kama kitambulisho... Hata hapo chuoni hawatembei nazo.ungekua walau umewahi kukanyaga ardhi ya chuo kikuu ungejua kuwa Tanzania tuna maprofesa.
Na huo ndio ukweli wenyewe, Issa Shivji, Mwakyembe na sasa Kabudi ni kapu moja tena humo kapuni wanakanyagana kama kaa wa bahari ya Hindi!!!Wasomi wakiwa mawaziri akili zote huziacha kabatini nyumbani.
Kwanza wote huzikana thesis zao kwa macho makavu bila aibu.
Ni afadhali kinyonga, ongezea yule mdudu anayefanana na nyoka akienda pande zote bila kugeuza kichwa, maana pande zake zote ni kama kichwa. Anapenda kufuatana na siafu pindi wanapohamia makao mapya.Ina maana mkuu huyo Pro Kabudi ni Kinyonga anabadirika kutegema yupo wapi.
Ana sura zaidi ya mmoja,na anaweza akatetea hoja yake kutegemea yupo wapi.Walakini hiyo inamtofautisha na mawakili kama Marehemu Madiba Mandela na sasa tunaye wakwetu Lissu wako tiyari kusimamia ukweli hata kama watafungwa jela.
Viva Lissu.
ilikuwa 2002 sio 1998Nimeipenda hii! Najua Tundu anamsubiri Profesa wake atampiga bao tamu kama GAUCHO alilompiga David Seaman kwenye WC ya 1998
umeona huyu jamaa sijui ni msiberia au au ni mturkmenistan nimetoka kapa na maandishi yakeHii lugha uliyoandika ni kiyunani au kiajemi ....
wewe unageuza kama kamgeuka but in fact wanafundishana.. ni vita ya kisomi ndio maana Lisu muda wote alikuwa anacheka na kupiga meza... Sio kamgeuka ila amepata nafasi ya kumwonyesha mwenzake anachokijua kisomi.======
Unakosea sana. Prof. Kabudi ni Profesa wa sheria. Outshinning Tundu is the obvious case.
Hata Tundu hana shida na hilo.
Shida kubwa ni mabadiliko ya ghafla ya Profesa Kabudi. Juzi alikuwa anamkubali Tundu; jana akaonekana anamshambulia. Mwaka jana alikuwa anatetea serikali tatu, jana anatetea serikali mbili na kuzitumikia.
Sijajua,kwa fani zingine,lakini kuna fani zingine kama za Uhandisi,Prof anaweza akawa mjuzi wa theory sana lakini mwanafunzi wa shahada ya kwanza au ya pili akawa yuko vizuri kwenye kazi,siyo makaratasi. Naamini pamoja na Umahiri wa Prof Kabudi,lakin anajua kabisa msomi wa Sheria Tundu Lissu siyo mtu mwepesi,ni mtu mwenye shahada ya Pili kutoka Uingereza. Pamoja siyo profesa lakini ana madini mengi kichwani. Ukitaka kumzidi kwa hoja lazima ujipange.======
Unakosea sana. Prof. Kabudi ni Profesa wa sheria. Outshinning Tundu is the obvious case.
Hata Tundu hana shida na hilo.
Shida kubwa ni mabadiliko ya ghafla ya Profesa Kabudi. Juzi alikuwa anamkubali Tundu; jana akaonekana anamshambulia. Mwaka jana alikuwa anatetea serikali tatu, jana anatetea serikali mbili na kuzitumikia.
Siku za karibuni nimesafiri na Prof. Kabudi kwenda Nairobi. Tuliongea mengi na ninaamini atazingatia.
Lakini moja ya tuliyoongea naye na nikalazimika kukubaliana naye ni juu ya nafasi ya Tundu Lissu katika siasa za Tanzania. Mimi nilikuwa na maoni kinzani na yeye alikuwa anaona fahari sana juu ya kazi anayofanya Tundu Lissu. Kwa kauli yake aliniambia, " Tundu hana mtu wa kumjibu ndani ya serikali na hatapatikana karibuni".
Nimeangalia hotuba yake Prof. Kabudi kwa mshangao pale alipokuwa akimshambulia Tundu baada ya kuwa amenishawishi nimkubali Tundu. Je yawezekana Prof. Kabudi anaelekea kuangukia mtego alimoangukia Prof. Muhogo ambaye aliingia kwa kishindo akitanguliza uprofesa lakini akajikuta anaangukia mikononi mwa wakulima na wavuvi wa Musoma na kuwapigia magoti na kula udaga nao ili wampe kura. Siku hizi amenywea.
Baba wa Taifa ambaye ni role model wa Prof. Kabudi, aliandika akishauri kuwa " wana falsafa wanajua kutawala lakini hawapendi kutawala". Akasema, kila walipopata nafasi ya kutawala, walipenda wamalize haraka na kurudi katika kazi yao wanayoipenda.
Awamu hii ina maprofesa wengi. Nachelea watadhalilishwa wasipokuwa waangalifu.
Ukitaka kumkamata kuku kirahisi mtupie mahindi huku ukielekea ndani.. That's itShida kubwa iliyopo ni Prof Kabudi kum-outshine Lissu. Hili limewakera na litaendelea kuwakera wengi na kupelekea mashambulizi mengi yenye lengo la Personality assassination kwa Prof Kabudi.
Kuna watu katika jamii hii wanaona ni kosa la jinai kwa mtu kutoka upande wa serikali au chama tawala kuwa mweledi. Siasa hizi hazituletei tija sana!
Mkuu mtu anapokuwa na mpinzani hujipanga sana ilikujikwamua pale alipo, hawa watamfanya Lisu kuwa bora zaidi kwani hata bwetekaTundu Kwa sasa anatia huruma sana, huku Tulia, kule Palamagamba patamu, misifa yote kwishiney
ilikuwa 2002 sio 1998
HAPO SASA...======
Unakosea sana. Prof. Kabudi ni Profesa wa sheria. Outshinning Tundu is the obvious case.
Hata Tundu hana shida na hilo.
Shida kubwa ni mabadiliko ya ghafla ya Profesa Kabudi. Juzi alikuwa anamkubali Tundu; jana akaonekana anamshambulia. Mwaka jana alikuwa anatetea serikali tatu, jana anatetea serikali mbili na kuzitumikia.