Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
- Thread starter
- #21
Aaaaah! Watu wengine bana. Bado tuna kumbukumbu ya maafa pamoja na vifo kutokana na ajali ya gongolamboto. Uchungu na kumbukumbu bado zipo fresh kuhusiana na ajali ile. Uandishi wako ungalitaja majina na mazingira tofauti lakini ujumbe ulokusudia ukafika. Mimi nimeguswa na stori hadi nashindwa kumalizia.....kumbe ni urongo!
usiseme kuwa ni uongo coz ni makubwa zaidi yaliyowapata wenzetu. Mungu azilaze roho za wenzetu peponi...amiin