Nimempenda shemeji yangu

zagarinojo

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2020
Posts
2,622
Reaction score
2,855
Daah! kumbe nimeamini love doesn't ask why yaani shemeji yangu nimetokea kumpenda kutoka moyoni Ila sasa ndio mke wa kaka yangu ntafanyaje

Nifiche hisia niendelee kuumia. Au nimwambie nijue kama na yeye ana hisia kama zangu

Na Kama tukipendana tutaonesha picha gani kwa jamii

#Iam Zagarino
 
Umesha mchaputa mara ngapi shemejio?

Ongea na kaka yako akuachie.
 
Mtongoze tu bahati inaweza kuwa upande wako mkuu shemeji mtamuu kinoma hasa akiwa wa broo wako wa karibu
 
Kila jukwaa naona umeamua kuanzisha uzi. Baadaye anzisha uzi wa kuomba ushauri kwamba ili mvulana uwe mwanaume ni nini unatakiwa kuacha na kipi unapaswa kujiongeza.
 
Haya kenge nyengine imekurupuka
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…